johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Wananchi wa Kibamba Shule wamalamikia kitendo cha TANROADS kubomoa nyumba zao bila kuwapa taarifa na Kesi ikiwa mahakamani.
Wananchi hao wamedai mali zao zimeharibwa na nyingine kuibiwa katika zoezi hilo la kinyama la kubomoa nyumba zao.
Source: ITV habari
Wananchi hao wamedai mali zao zimeharibwa na nyingine kuibiwa katika zoezi hilo la kinyama la kubomoa nyumba zao.
Source: ITV habari