Mohamed Mbelwa
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 507
- 272
Naongea na ninyi madiwani wa Ukawa. Dar es Salaam, mbeya, Iringa, Arusha, Tanga. Sisi wananchi tumekataa rushwa za tshert, fedha, Pombe, mbolea, Nk tukawachagueni ninyi
Sasa nasikia kuna fedha nyingi imetengwa, pamoja na gari aina za RAV4 ili kuwahonga ninyi.
Ole wenu mchukue harafu msituletee mameya
Sasa nasikia kuna fedha nyingi imetengwa, pamoja na gari aina za RAV4 ili kuwahonga ninyi.
Ole wenu mchukue harafu msituletee mameya