Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
hii sasa ni hatari!
hii sasa ni hatari!
kama ni ukweli duh itarudi i enzi za sukari guru...hii kali
inazalishwa tpc moshi lakini arusha hakuna sukari na wamechukua hekta nyingi mbaya lakini ukienda uk unaipata kirahiiiiiiiiisi.
Hakuna kukimbia labda kikwetee akimbie....sijui tukimbilie wapi??
Unalipia bank unapewa kibali cha kwenda kuchukua kwa afisa mtendaji wa kijiji.kwahio unajiandikisha jina kwa mtendaji na mtendaji anaenda na list ya majina pamoja wahusika bank unasomwa jina unaenda kulipia dirishani ukishalipia unarudi na slep ya bank kwa mtendaji unamkuta wakala unamwonyesha karatasi ya bank unapewa sukari. Kwa karne hii haya mambo vip? jamani hii mpaka lini?
Miaka mwiwili ni mingi sana......[/QUOTE
tanzania in risk is out of date we must update it soon
Mkuu anachokisema Kipre ni cha ukweli na si Arusha Mjini tu mi nipo Maeneo ya Karatu toka jana tumekosa sukari na ni ya kupanga foleni tena si foleni ya watu wachache na kuna usimamizi wa askari ili watu wasilete vurugu........utaratibu uliowekwa na halmashauri sukari itatoka tu kwa wale wenye leseni za biashara na ni mfuko mmoja ndio unaopatiwaMpwa, sorry are you serious?? Hapana mie siamini kama ni Tanzania hii na kwanini itokee Arusha?? wanamkomoa nani? Hata wawape na sumu hawataweza kugeuka nyuma tena na kuisujudia CCM
Mbona naona kwua huo ni muda mrefu sana! kwa kweli hatuna nchi sasaTanzania itakufa baada ya miaka 2