Kipre tchetche
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 238
- 40
Unalipia bank unapewa kibali cha kwenda kuchukua kwa afisa mtendaji wa kijiji.kwahio unajiandikisha jina kwa mtendaji na mtendaji anaenda na list ya majina pamoja wahusika bank unasomwa jina unaenda kulipia dirishani ukishalipia unarudi na slep ya bank kwa mtendaji unamkuta wakala unamwonyesha karatasi ya bank unapewa sukari. Kwa karne hii haya mambo vip? jamani hii mpaka lini?