Niliposoma hii kitu mchana nilibisha moyoni kwangu, lakini nilipotaka chai ya jioni nimekubali. Mttani kwetu kuna maduka matatu na siku zote haukosi bidhaa yeyote. Cha ajabu ni kwamba maduka yote matatu hayani sukari na wanasema ni kutoka juzi na hawategemei hivi karibuni maana foleni ni ndefu sana....
TPc haiko mbali ni hapo Arusha chini, hectors za kutosha za miwa. Wanazalisha vyakutosha, sema yule kaburu anauza nje ndani tunakosa sugar....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.