Wanamuziki wa extra musica


Awali nilidhan abilissi ameongozana na oxy oxygen ktk kundi la universal zangul lakn simwoni wala hata kusikia sauti ake.

Nahisi atakuwa kapotea ktk mziki kabisa coz simsikii.


Sikiliza kibao cha Fred Nelson.... uone vijana wanamuonesha kama ni msaliti wa ndoa yake na penzi kubaki ni kwenye simu tu..... huyo mwanaume amekuwa malaya hadi anaasi ndoa yake.
..
Nakipenda sana kibao hiki
 
Roga roga..... sikiliza kibao cha AMIE DETRESSE cha z1 international album ya super helico utamsikia Christian ambe vema sana nenda YouTube upate radha
 

Abilissi aliondoka Extra Musica kabla albam ya Shalai haijakamilika. Ukiifuatilia vizuri albamu hii anasikika vizuri katika nyimbo mbili shalai na Tumemanquse ambayo alitunga yeye, kuondoka kwake kulipelekea hata wimbo wake ushindwe kufanyiwa shooting na ukichukua albam ya shalai upande wa video,wimbo wake wa tumemanguse haupo,na yeye anaonekana tu katika wimbo wa shalai. Lakini upande wa Oxygene ameondoka baada ya albam mbili zaidi tangu itoke shalai,maana yake alikuwemo kwenye Trop c'est trop na Obligatoire.
 

kaka bado sijakubaliana na wewe namna hawa wakali watatu walivyoondoka. Baada ya confirmation albam, christian na guy guy fall walijitoa Extra musica. Ukisikiliza albamu iliyofuata ya oragan, waimbaji ni watano tu yaani Moyascko,Oxygene, Abilissi, Doudou copa na Herman Ngassacky. Huku upande wa gitaa yupo Roga roga(solo), espe bass(bass) na durell loemba(rhythm). Drummer ni Ramatoulaye,keyboard ni kingstal,wengine ni pinochet thiery,anaurd laguna,regis touba na cyrill malango japo hawa walikuwa hawapewi nafasi sana yakuonesha mavitu yao. Sasa kwa list hiyo hapo juu ni vp useme christian,durell na moyascko walitoka pamoja wakati christian hata albamu ya oragun hakushiriki?? Nikweli katika super helico ya extra musica international walikuwa pamoja.
 
Amabilis..... Jamaa ana sauti kali sana,mtunzi wa ngoma ya Plus Tard.....one of my favourite song katika album ya Etat Major!! Ila we jamaa uliyeleta uzi huu shikamooooo......
 
Roga roga..... king kistere amefariki jana saa kumi na moja asubuhi ya tarehe 13 February 2014
 
Ulosema ni kweli kabisa... lakn ukifuatilia videos zao Christian ni kama huwa ni mtu wa kujiskia sana cjajua ilikuwaje hadi hakusikika na cjui nn kilimkuta jamaa huyu..
 
Ulosema ni kweli kabisa... lakn ukifuatilia videos zao Christian ni kama huwa ni mtu wa kujiskia sana cjajua ilikuwaje hadi hakusikika na cjui nn kilimkuta jamaa huyu..

Lakini kwanini wengi wao hawajafanya vizuri baada ya kutoka? Ukitazama christian na guy guy fall walikuwa lulu sana na tungetarajia wangetisha zaidi kuliko bendi waliyotokea kinyume chake hawajafanya vizuri tofauti na bendi waliyotokea ilizidi kuimalika, hata alipotoka moyacko na durell bendi ilisimama na kutoa albamu bora kama shalai na etat major huku wao wakitoa nyimbo za kawaida sana tofauti na uwezo wao waliouonesha wakiwa extra musica. Au roga roga ndiye aliyeibeba bendi tofauti na waliokuwa wanatoka katika bendi?
 
Hiyo iko waz sana kuwa Roga ni fundi sana pale kundin ..anauwezo mzur wa kutunga, kupangilia sauti, mashair na mtiririko wake ukweli n fund sana hapana ubish
 
Shukran wadau kwa kutukumbusha mbalikidogo enzi za unjuka, mimi ni mpenzi sana wa boringo za congo kama kuna mwenye historia za Wenge, Coffie na Pepe kalle mtupe uhondo jamani kama wa Zuberi Msabaha.
 
Shukran wadau kwa kutukumbusha mbalikidogo enzi za unjuka, mimi ni mpenzi sana wa boringo za congo kama kuna mwenye historia za Wenge, Coffie na Pepe kalle mtupe uhondo jamani kama wa Zuberi Msabaha.
obwato...... merce...hujawa muwaz zaid unataka history ya wasanii hawa au tafsiri ya nyimbo zao...

Pamoja sana d'e la Congolese
 
obwato...... merce...hujawa muwaz zaid unataka history ya wasanii hawa au tafsiri ya nyimbo zao...

Pamoja sana d'e la Congolese

Mie nadhani njoo na tafsiri kabisa na tuanze na wimbo matongi, Angela, kende,Denide, inondation then racine
 
Ntakuja na tafsiri sahh kabisa wadau punde kaeni chonjo
 
Nitawaletea tafsiri ya wimbo 100 kilos wa ferre golla na maze wa tabuley
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…