Distant Relatives
JF-Expert Member
- Nov 21, 2020
- 415
- 729
Kuna watu wanapenda ujuaji usio na mantiki yeyote. Hawa wasanii kila mmoja anauzuri na madhaifu yake. Napenda sana Sauti ya Jb Mpiana, sikiliza omba au papito, ila jamaa ni mbinafsi sana ndio maana hakuna artist wakali 5th gen waliotokea kwa Mpiana. Juzi Migon kaeleza kupewa nafasi ya kuingiza nyimbo solo ili usikike ni ngumu. Werrason ni mbahili na halipi vizuri, ila anatoa sana nafasi na uhuru kwa artist wake ndio maana kina ferre, fabregras, watanabe, celeo scram wamehit wote ni Werrasonique. Koffi ni tapeli na mfitini sana. Kwa ushirikina wote ni washirikina.Huu uzi ulikua mzuri sana ila majigambo ya baadhi ya wachangiaji umesababisha tukose vitu
Sent using Jamii Forums mobile app