Haha hahaha ...nilikuwa na peruzi Kimya Kimya lakini imenibidi ni comment tu MAmaeeee....daahh nimecheka sanaNaona unazidi tu kunionyesha na kunidhihirishia ' Upumbavu ' wako uliokutukuka. Kichwa cha GENTAMYCINE kimejaa ' madini ' mengi na ya kila aina ( popote kule utakapoamua kunitupa Mwanamume nipo vizuri tu ) ndiyo maana unaona najiamini halafu nina jeuri vile vile. Bado una safari ndefu mno ya kufikia tu hata robo ya kile ambacho nimetunukiwa nacho na Mwenyezi Mungu kama ' Shani / Talanta ' yangu ya Kipekee hapa duniani.
Acha hzio basiiiiiTabu ley alikufa akiwa na watoto 200
Unapenda ulozi dadake au?Gudume mambo ninayoyapenda hayo natamani uendelee jamani
Mkuu unaweza kutufahamisha nini kinaendelea kwenye hiyo Congo Vibes platform kabla hatuja amua kama tuna jiunga.Lets join here Congo Vibes
Alikuwa akishajizindika anaoza akifufuka anakuja Na nyimbo za hatariLeta na story ya Pepe Kalle yule Tembo wa Afrika nasikia jamaa alikuwa mshirikina sana kama Madilu System
Hatari sana mkuuAlikuwa akishajizindika anaoza akifufuka anakuja Na nyimbo za hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanasema alikuwa akipewa mistari kuzimu,waenda kuzimu shuhuda zao hizi ngoma za kidunia zinapigwa hatariHatari sana mkuu
Shikamoo shunie na gudume..!Gudume mambo ninayoyapenda hayo natamani uendelee jamani
mmh! mkuu unaweza tutaftia japo mmoja kati ya hao waenda kuzimu... maana atatuelewesha mengi naona... ..na huyo pepe kama ni kweli basi hakuwa yeye tena .... ulibaki mfano wa yeye tu!Wanasema alikuwa akipewa mistari kuzimu,waenda kuzimu shuhuda zao hizi ngoma za kidunia zinapigwa hatari
Sent using Jamii Forums mobile app
Mambo ya rohoni ya ulimwengu wa Giza hayachunguziki kwa ulimwengu wa macho ya kawaida zaidi ya jicho ya tatummh! mkuu unaweza tutaftia japo mmoja kati ya hao waenda kuzimu... maana atatuelewesha mengi naona... ..na huyo pepe kama ni kweli basi hakuwa yeye tena .... ulibaki mfano wa yeye tu!