Wanamgambo wa kikristu wauaji

Status
Not open for further replies.

wakristo wamechokozwa tena kwa makusudi. uvumilivu umewashinda n'a waondoke Hao wafia Dini wakapeleke chokochoko saudia. na iwe fundisho kwa wafia Dini wa hapa tz
 

Hebu msome mungu wako anavyo waamrisha kwenye Koran ya Jibril.
Surat Al Baqara 191. Na wauweni popote mwakutapo, .......; kwani fitina ni mbaya zaidi kuliko kuuwa. ....... Na hivi ndivyo yalivyo malipo ya makafiri.
 

napinga kwa nguvu zote binadam kumwua mwenzie kwa kisingio chochote kile. najua hapo CAR Waislam b4 waliua watu wengi wakiwa Wakristo. lakn tunatakiwa kujua kosa halioshw na kosa jingine. nasikitika kwa kutosikia kauli kali za kulaan mauaji haya. nataman watu waingilie kijesh kuokoa uhai na haki za binadam. mimi kama Mkristo namwomba Mungu yule wa Mbingun awape mioyo ya utu. binadam asikie maumivu anapomtendea mwenzie jambo baya. naomba aman upendo na maelewano. Baba Mungu nakuomba uwatembelee na mkono wako wa aman uwe juu yao. Amina
 
Mkuu huyu sheikh anawafuasi wengi sana duniani.
Je huyo ndio aliyeandika huo mstari kwenye kitabu cha quran?

Hakuandika huo mstari ila yeye alitoa tafsiri potofu.Na hakika aya inazungumzia kihusu hali ya kivita ktk taifa la Kiislam.Hebu tusome pamoja:
"And fight in the cause of God (against) THOSE WHO FIGHT YOU but BE NOT AGGRESSIVE; for verily God loveth not the aggressors
Piganeni ktk njia ya Mwenyezi Mungu DHIDI YA WALE WANAOWAPIGA lakini MSIVUKE MIPAKA kwa kua Mwenyezi Mungu Hawapendi wavukao mipaka.[tafsiri ni ya kwangu]--Qur'an 2:190

"And slay them wherever ye find them and DRIVE THEM AWAY WHENCEFROM THEY DROVE YOU for mischief is more grievous than slaughter.........."
Lengo hapa ni kuwapiga wale wanaowapiga tena bila ya kuvuka mipaka maana vita ktk Uislam ina masharti yake kwa wale wenye kufahamu.
Waislamu wanaamrishwa sio tu kupigana kulinda na kutetea imani yao bali pia kulinda makanisa,masinagogi na kote kunakofanyw ibada kulingana na matakwa ya mhusika Qur'an 22:40 kwa sababu moja tu kwamba hakuna kulazimisha watu kuingia Uislam Qur'an 2:256.
Ikiwa hamkaririshwi, kwanini aya hizi zinazopinga ushenzi unaofanywa na wale wote wanaouchafua Uislam hamuzisemi nazo zipi ktk sura moja?Je hamhukumu kwa haki?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…