Wanakoelekea wanaume wa pwani mi hata sielewi

Wanakoelekea wanaume wa pwani mi hata sielewi

moses Mwanja

JF-Expert Member
Joined
Oct 8, 2016
Posts
534
Reaction score
463
87deaafae92fdb930ac2004cc2fd9c78.jpg
 
Mod naomba futa huu uzi.
Naona baada ya kupewa mkopo na HELSB watoto wa mwaka wa kwanza wanajiunga Jf na kuleta utoto hapa.
Hili ni jukwaa la great thinkers
 
Uo udongo wa ardhi ya bagamoyo[emoji23][emoji23][emoji23]..samahanini lakini ni bagamoyo sijasema wa dar[emoji37]
 
ujue kuna std 7 humu wanachezea smartphon za wazazi wao.

sasa picha za hivi unawaharibu.
 
Mwenye picha yake kakupa ridhaa ya kupost?
Picha kama hiyo unaomba ridhaa ya nini ? Hivi ingekuwa imepigwa huyo ng'ombe ndio anachinjwa na huyo jamaa kwa ajili ya kitoweo tungekuwa tunaongelea habari hii humu Jf ?
Hata hivyo ni picha duka tu
Sema na wewe mleta thread kuweka habari hii MMU umeniacha na maswali
 
Picha kama hiyo unaomba ridhaa ya nini ? Hivi ingekuwa imepigwa huyo ng'ombe ndio anachinjwa na huyo jamaa kwa ajili ya kitoweo tungekuwa tunaongelea habari hii humu Jf ?
Hata hivyo ni picha duka tu
Sema na wewe mleta thread kuweka habari hii MMU umeniacha na maswali
Sio kwamba sijajua kuwa hiyo ni photo shop nimejua ...lakin vtu kama hivi ni thread zisizo na maana
 
Back
Top Bottom