Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
hili gurudumu nipo nalo hadi mwisho wa safari, kama ww unajitoa mzee ina maana wengine wakutayarishie njia, haya bana ! mie nilijitoa then nikajiweka tena ! teh teh
sijitoi ng'o, manufaa ya taifa, hasara za taifa ni za wote na sio serikali peke yake, serikali na wananchi wake wangekuwa wananufaika sasa hivi UNGEFIKIRIA KUJITOA ??
Hivi kumbe wewe huwa unafikiriaga hivi pia.Ila unadhani wewe kuwepo hapa JF kunarudisha maendeleo nyunma au mbele.Maanake labda umati unisaidie hapo,sioni fikra zako endelevu hapa.Now i know why we are still underdeveloped.