WanaJF wa MMU tumoderate jukwaa letu

Status
Not open for further replies.
Haya malalamiko ya hili jukwaa yamekuwa ya siku nyingi sasa. Kila baada ya muda fulani kupita yanakuwa recycled. Cha kustaajabisha ni pale unapoona baadhi ya hao wanung'uniki wakijisahau na kuchangia baadhi ya hizo hizo mada za kipuuzi.

Tena si kwamba wanachangia mambo ya maana. La hasha! Wanachangia mambo yao wenyewe, matani yao ya ndani, na mambo mengine ambayo hata hayahusiani na mada...wenyewe wanasemaga eti wanaenda ofu topiki. Tena wanasemaga hivyo kwa madaha ya pundamilia.

Kweli nyani haonagi la kwake. Kazi kunyooshea vidole ya wenzie tu.



Eti wanadai wao ndop wamiliki wa mmu.
Sijui nani kawadanganya?
Kwao sawa, kwa mtu aliye nje ya "mtandao wao" dhambi.
tehe tehe tehe tehe.....tihi, toho, tuhu.....
Hasa huyu mwanzisha sredi...ana matatiziiiiiiiizo kweli kweli.


Kwa hiyo ndio maana uliona ni heri uanzishe zile threads mbili?
 
Unelss mod aliyepitisha thread yako ya mwezi uliopita awe amesoma ile thread uliyeanzisha mwezi uliopita ndio angejua kuwa threads zako zinajiconflict zenyewe. Kwa wewe kuweza kuanzisha threads mbili zinazojicontradict simply means that utaratibu wa kumoderate ulioanzishwa is not working. .

Mkuu hivi kuna sheria inataka mtu aseme ukweli tu hapa JF...,

Mimi naona ni bora kutokuangalia ni nani amepost bali ni nini amepost sababu majibu ya wanajamvi yanaweza kumsaidia sio mtoa mada tu bali hata msomaji.... mfano hio ya kupiga kelele kwenye nyumba ya kupanga ushauri wa kuwa wanaenda guest au kuweka ceiling board na sound proof kwenye chumba ingeweza kuwasaidia kwenye ndoa yao (hata kama sio yeye huenda kuna mwingine anakumbwa na tatizo kama alilosema yeye...), Je ni kweli tuache kumwamini muongo hata kama akisema ukweli..?, Je akidanganya kwenye A na B je ndio kusema na kwenye C pia amedanganya..?, tunapochangia hoja je tunamjibu mtoa hoja au hoja iliyochangiwa..?
 


in case they're different persons



Uliposoma mfano wa thread mbili nilizozitolea mfano hapo juu, umeona ziko sawa? Kama mtu anaanzisha thread akitaka afanye nini kuhusu mkewe anayepika makelele kila anapofika kileleni na na baada ya siku kadhaa anaanzisha thread nyingine akitaka ushauri kuhusu mke huyo huyo anayetaka kumwacha kwa kushindwa kumfikisha kileleni, hapo utatumia kigezo gani kuamua kama threads zote mbili ni za kipuuzi?




Hakukuwa na lugha chafu katika hizo mada zote mbili ambazo umezitolea mfano. Na madhali hazikuvunja sheria za JF mimi sikuona kama zina ubaya wowote. Nilizisoma na nilipoona sina la kuchangia wala sikujihangaisha. Niliendelea kwingine tu.

The motto of this forum is where we dare talk openly. So why try to infringe upon people's right to freely express themselves so long as they are not breaking any of the forum's rules?

What objective standard(s) are you going to use to determine if a topic is not worthy of being here? I am not in favor of censoring free speech especially if the forum prides itself in being the place where people can dare talk openly so long as they abide the established rules.

Let people express themselves bana. Hupendi wanachokibandika au wanachokiandika...sepa kwingine. As simple as that.
 
EMT... Nakusifu kwa kufungua hii Thread... Iko very very insightful..... to the CORE.....
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Nadhani tukiendana na the old adage... "One Man's Meat is another Man's Poison....." basi tutaona kwamba hakuna post ya kijinga kama tu sio matusi, dhiaka au haipo mahali pake kwenye forum husika...

Na kama watu wataona haifai basi wataacha ife a natural death kwa kupotea to infinity after some time..., tukianza kusema kwamba kitu fulani hakina tija au swali fulani halina mantiki basi tutajikuta tunaongelea mambo tu ambayo percent fulani ya watu wanayapenda..., binafsi ninaamini kwamba hakuna swali la kijinga bali jibu ndio la kijinga na anaeomba ushauri basi apewe, moderation inaweza kuwa tu katika aina ya maneno yanayotumika lakini sio content...

If it aint broke..., dont try to fix it......., (unless its broken....)
Hivi kama post haina matusi kuna ubaya gani ikitoka..?, ukizingatia within time post huwa zinashuka chini mpaka kupotea, hivyo basi hata kile ambacho Mods wangekitoa kitapotea tu naturally..., kisipopotea then it means kina wapenzi wake..., na hao wapenzi hata kama ni wadogo kiasi gani ila nao ni members wa JF wenye equal rights... (unless kama wamevunja sheria...) kuanza kuwaambia watu nini cha kuandika binafsi naona ni kuvunja kwa "JF Members Rights..." which is very very bad...

Mkuu leo mtu akikuomba ushauri juu ya mkewe anayepiga kelele mno anapofika kileleni halafu kesho akarudi tena anataka umshauri kuhusu mkewe anayetaka kumwacha kwa vile jamaa ameshidwa kumfikisha kileleni, wewe unaona kuna mantiki yoyote hapo? Utamshaurije hapo? Mkuu napingana na wewe. Huwa kuna maswali ya kijina na majibu ya kijinga pia. Kama members tuna rights lakini lets not abuse our own rights.
 
Mkuu hivi kuna sheria inataka mtu aseme ukweli tu hapa JF...,

Mimi naona ni bora kutokuangalia ni nani amepost bali ni nini amepost sababu majibu ya wanajamvi yanaweza kumsaidia sio mtoa mada tu bali hata msomaji.... mfano hio ya kupiga kelele kwenye nyumba ya kupanga ushauri wa kuwa wanaenda guest au kuweka ceiling board na sound proof kwenye chumba ingeweza kuwasaidia kwenye ndoa yao (hata kama sio yeye huenda kuna mwingine anakumbwa na tatizo kama alilosema yeye...), Je ni kweli tuache kumwamini muongo hata kama akisema ukweli..?, Je akidanganya kwenye A na B je ndio kusema na kwenye C pia amedanganya..?, tunapochangia hoja je tunamjibu mtoa hoja au hoja iliyochangiwa..?

Na ni nani aliyemwambia kuwa ni lazima stori utakayoweka humu ni lazima iwe imekuhusu wewe muanzisha thread. Kwamba haitakiwi kuweka habari ya mtu mwingine.
Nikiweka nafsi yangu katika habari yangu, je inamaanisha 100% kuwa ni mimi?
Kuna aina ngapi za uandshi, na nafsi ipi unatakiwa kuitumia na wakati gani katika kuwasilisha habari yako.
Tatizo la jamaa ni kuwa anakariri.
I LIKE HATERS!
 
Mkuu leo mtu akikuomba ushauri juu ya mkewe anayepiga kelele mno anapofika kileleni halafu kesho akarudi tena anataka umshauri kuhusu mkewe anayetaka kumwacha kwa vile jamaa ameshidwa kumfikisha kileleni, wewe unaona kuna mantiki yoyote hapo? Utamshaurije hapo? Mkuu napingana na wewe. Huwa kuna maswali ya kijina na majibu ya kijinga pia.

Hapa karibu kila kitu ni hiari! Hulazimiki kumshauri mtu kama huna cha kumshauri au kama unaona alichouliza hakina mantiki. Wewe potezea tu na sepa kwingine ambako unaona unaweza ukatoa mchango wako.

Kama mada kwako ni ya kijinga basi iache tu. Waachie wajinga waiendeleze. Wewe sepa kwa werevu wenzio. Ugumu uko wapi hapo?
 
Ulichokuwa unakitafuta kutoka kwangu siku nzima ya leo sasa unakipata:

.................
Mkuu sasa hapo nilipoweka ......................., utakuwa umevunja sheria za jukwaa letu nakuomba tu ufute hio post hapo juu ili tuendelee kujadiliana kwa hoja..., tafadhali bwana tukikupoteza kwa BAN utashindwa kufikisha ujumbe unaotaka kusema.
 
Jamani humu ni ideas tu.msitukanane sasa Mwanakijiji alikuwa na sgnature isemayo Hoja hujibiwa kwa hoja na si vioja.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Ulichokuwa unakitafuta kutoka kwangu siku nzima ya leo sasa unakipata:<br />
<br />
<font size="4"><font color="#0000cd"><b>.</b></font></font>
<br />
<br />
acha hasira shindana kwa hoja.mama wa watu amekosea nini jamani.
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Mkuu sasa hapo nilipoweka ......................., utakuwa umevunja sheria za jukwaa letu nakuomba tu ufute hio post hapo juu ili tuendelee kujadiliana kwa hoja..., tafadhali bwana tukikupoteza kwa BAN utashindwa kufikisha ujumbe unaotaka kusema.

Let it be Mkuu.
Huyu jamaa hakuanzia hapa...almost siku nzima ya leo kaniandama tena kwa matusi,
sasa kama alikuwa analizimisha iwe hivyo, basi na iwe.
 
Mkuu hapo hapo kwenye mantiki..., ni kipi chenye mantiki au ni nani anasema kipi chenye mantiki....?, Story za kutunga au Maswali ya ambayo mtu anaona kwamba ni straight forward..., well kwenye kutunga majority ya stories humu watu wanatunga na tukianza kuangalia authenticity ya habari huenda tukajikuta habari karibia zote tunaziona pumba...

Mkuu kwa mfano ukisoma zile thread mbili nilizozitolea mfano wewe unaona kuna mantiki yoyote? Leo mtu anataka ushauri juu ya mkewe kupiga makelele kila anapofika kileleni kesho anakuja na shread nyingine akitaka ushauri juu ya mkewe anayetaka kumwacha kwa sababu ameshindwa kumfikisha kileleni? Hapo wewe unaona kuna mantiki yoyote?
 
Mkuu leo mtu akikuomba ushauri juu ya mkewe anayepiga kelele mno anapofika kileleni halafu kesho akarudi tena anataka umshauri kuhusu mkewe anayetaka kumwacha kwa vile jamaa ameshidwa kumfikisha kileleni, wewe unaona kuna mantiki yoyote hapo? Utamshaurije hapo? Mkuu napingana na wewe. Huwa kuna maswali ya kijina na majibu ya kijinga pia. Kama members tuna rights lakini lets not abuse our own rights.

Mkuu mimi nimeshajibu post nyingi sana ambazo nikiziangalia sihitaji kuwa Sherlock Homes kugundua kwamba kwa maisha ya kawaida ni vigumu kutokea, au kufahamu kabisa kwamba story ni ya kutunga, lakini mimi huwa najibu hoja nikijua kwamba hata kama sio yeye basi huenda kuna rafiki yake au mtu yoyote ambae yalishamfika hayo au nusu ya hayo aliyoyasema...Hivyo basi jibu lako linaweza likawa zuri na la manufaa kwa watu tofauti, ingawa mleta habari post yake ilikuwa ni ya kutunga...,

Kama kweli aulizae anataka kujua basi hakuna swali la kijinga anaweza akauliza jambo ambalo ni impossible ila sio la kijinga.
 
Mkuu kwa mfano ukisoma zile thread mbili nilizozitolea mfano wewe unaona kuna mantiki yoyote? Leo mtu anataka ushauri juu ya mkewe kupiga makelele kila anapofika kileleni kesho anakuja na shread nyingine akitaka ushauri juu ya mkewe anayetaka kumwacha kwa sababu ameshindwa kumfikisha kileleni? Hapo wewe unaona kuna mantiki yoyote?

Kwa hiyo kosa ni hizo mada kukosa mantiki au kosa ni nini hasa?
 
Mkuu mleta hoja,unaposema thread zinajiconflict una maana gani?WHAT IF JAMAA ANA WANAWAKE WATATU?NA KILA DEMU ana sifa yake.let say mwingine hafiki,mwingine anapiga kelele

Mbona nilivyom question kwenye thread husika kuwa threads zake mbili zinazojicontradict hakusema kuwa ana wake zaidi ya mmoja? Hata kwenye hii thread si angesema tuu ana wake zaidi ya mmoja? Is that so difficult?
 
Mbona nilivyom question kwenye thread husika kuwa threads zake mbili zinazojicontradict hakusema kuwa ana wake zaidi ya mmoja? Hata kwenye hii thread si angesema tuu ana wake zaidi ya mmoja? Is that so difficult?

What the hell do you think you are, that i have to respond to you!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom