Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Kama anakuja kutafuta madada poa huku hatumtaki achape lapa mkoa mwingine.
wadada poa akawatafute kwingine! Sio huku.
Filipo bora umemueleza!! Sasa mambo ya madada poa yametokea wapi?
Atuacheee wana Apollpo tupumuweeee!
yaani kaona Arusha ndo sehemu ya kutafutiam dada poa tena bila aibu anataka kabisa tumwambie na viwanja? yaani, ameshindwa kutongozamo mdada decent kabisa....atutake radhi hapa hapa kwa kutudhalilisha bana...au kajidhalilisha mwenyewe?
CC marejesho, Preta, Filipo, LiverpoolFC, Arushaone jembe, Mzee wa Rula, Blaki Womani, Lily Flower, sweetlady, IGWE, PakaJimmy, Mungi, Crashwise na wengineo wote.
BCC: Asprin
Last edited by a moderator: