Edwin Mtei
Senior Member
- Dec 13, 2008
- 181
- 342
MwanaJF Dalai Lama kajitambulisha ni jirani yangu. Nilidhani ni Mkuu wa huko Tibet, akiishi karibu na Mount Everest. Kumbe anaishi hapa karibu na Mount Meru na anaweza kuona Mt Kilimanjaro akiwa nyumbani kwake.
Karibu sana nyumbani Dalai Lama. Tunywe chai au kahawa, tubadilishane mawazo. Huenda ukakubali kuvua gamba kama unalivaa hadi leo. Sisi CDM tunatumia mantiki, sio mabavu.
Karibu sana nyumbani Dalai Lama. Tunywe chai au kahawa, tubadilishane mawazo. Huenda ukakubali kuvua gamba kama unalivaa hadi leo. Sisi CDM tunatumia mantiki, sio mabavu.