Gaston Mbilinyi
JF-Expert Member
- Jan 24, 2010
- 296
- 51
WanaJF Wapendwa,
Salaaam!
Nimekuwa nikitembelea 'the Home of Great Thinkers - JF' na kuwasomeni kama mgeni kwa muda sasa.
Hapa JF ugeni ni mbaya kwani unasoma na kuhabarika, pa kucheka unacheka na siku alaulah zinaongezeka, lakini hauwezi kuuliza au kuchangia chochote mpaka umekaribishwa!
Hivyo kwa ujumbe huu naomba mnipokee na kuniondolea ugeni huu ili niwe mmoja wenu hapa JF.
Natanguliza shukrani kwasababu naamini nyie hamnaga mipaka kama ya Tz na Malawi kwa atakaye kuungana na kushirikiana nanyi. Hivyo naamini kuwa mtanipokea.
G. Mbilinyi
Salaaam!
Nimekuwa nikitembelea 'the Home of Great Thinkers - JF' na kuwasomeni kama mgeni kwa muda sasa.
Hapa JF ugeni ni mbaya kwani unasoma na kuhabarika, pa kucheka unacheka na siku alaulah zinaongezeka, lakini hauwezi kuuliza au kuchangia chochote mpaka umekaribishwa!
Hivyo kwa ujumbe huu naomba mnipokee na kuniondolea ugeni huu ili niwe mmoja wenu hapa JF.
Natanguliza shukrani kwasababu naamini nyie hamnaga mipaka kama ya Tz na Malawi kwa atakaye kuungana na kushirikiana nanyi. Hivyo naamini kuwa mtanipokea.
G. Mbilinyi