Nyafwili
JF-Expert Member
- Nov 27, 2023
- 2,774
- 6,885
Habari wanajamiiForums, poleni na majukumu ya hapa na pale 🤝, Simu yangu imeleta mushkeri kidogo, najua kuna wataalam kwenye masuala ya simu.
Tatizo hili nimeliona Asubuhi nilivyo amka, jana nilitumia simu mpaka mida ya Sita usiku, nilivyo itumia ikabaki asilimia 10%, hivyo ikabidi niweke kwenye charge ili nikiamka Asubuhi nikute ipo full!
Mambo yakawa tofauti kidogo, nilivyo jaribu kuiwasha Asubuhi ikawa inawaka na kuzima...
Kwa sasa imewaka lakini, inaniletea ujumbe huu
👇👇
Aina ya simu
👇👇
Tatizo hili nimeliona Asubuhi nilivyo amka, jana nilitumia simu mpaka mida ya Sita usiku, nilivyo itumia ikabaki asilimia 10%, hivyo ikabidi niweke kwenye charge ili nikiamka Asubuhi nikute ipo full!
Mambo yakawa tofauti kidogo, nilivyo jaribu kuiwasha Asubuhi ikawa inawaka na kuzima...
Kwa sasa imewaka lakini, inaniletea ujumbe huu
👇👇
Aina ya simu
👇👇