WanaJF Msaada Tafadhali

WanaJF Msaada Tafadhali

Huna connection na watu wanaonunua viwanja.
Mimi ni mwalimu nilianza kwa kuwa dalali lakini tangu mwaka jana nanunua na kuuza kikiwa na document zangu.
Napata wateja kwa urahisi na wanakuwa na imani.
Tafuta mtaji wastani wa Tsh10,000,000 anza biashara yako hutajuta.
Mkuu Nashukuru Kwa Ushauri Wako Mzuri, Nakubaliana Nawe Kabisa Tatizo Ni Namna Ya Kupata Kianzio.
 
Huna connection na watu wanaonunua viwanja.
Mimi ni mwalimu nilianza kwa kuwa dalali lakini tangu mwaka jana nanunua na kuuza kikiwa na document zangu.
Napata wateja kwa urahisi na wanakuwa na imani.
Tafuta mtaji wastani wa Tsh10,000,000 anza biashara yako hutajuta.
...teh hee hee...huo mtaji atautoa wapi wakati unga tu wa kula anaunga donee hapa!
 
Mkuu nimemshauri hivi ili aongee na ndugu wamuazime angalau hio pesa kisha akipata faida atalipa.
Mwalimu suala la kuwa na pesa mfukoni au kuwa na misingi ya kimahusiano imara na ndgu ni pana zaidi ya tujuavyo. Zimebaki familia chache zinazo jivunia umoja wa kindugu. Kunawa wamekuwa wamekuta ndg hawaelewani. Utaambiwa babako alizinguana na ndg zake kwasababu ya mali, hivyo tangu unazaliwa unakuta misingi ya mahusiano ilisha bomoka.

Si hivyo tu mwalimu, heshima ya Ndg kwako na upendo, utavipata kulingana na ulicho nacho mkononi/mfukoni. Tunaheshimiana kwa sababu na si vinginevyo. Ndg yangu kama unao ndg wanaoweza kukuamini wakakupa hayo manoti, inua macho juu mtukuze Mungu. Vinginevyo familia nyingi sasa mambo ni kama mbinguni kila mtu anabeba mzigo wake.
 
Mwalimu suala la kuwa na pesa mfukoni au kuwa na misingi ya kimahusiano imara na ndgu ni pana zaidi ya tujuavyo. Zimebaki familia chache zinazo jivunia umoja wa kindugu. Kunawa wamekuwa wamekuta ndg hawaelewani. Utaambiwa babako alizinguana na ndg zake kwasababu ya mali, hivyo tangu unazaliwa unakuta misingi ya mahusiano ilisha bomoka.

Si hivyo tu mwalimu, heshima ya Ndg kwako na upendo, utavipata kulingana na ulicho nacho mkononi/mfukoni. Tunaheshimiana kwa sababu na si vinginevyo. Ndg yangu kama unao ndg wanaoweza kukuamini wakakupa hayo manoti, inua macho juu mtukuze Mungu. Vinginevyo familia nyingi sasa mambo ni kama mbinguni kila mtu anabeba mzigo wake.
Mkuu Umenena Vyema Kabisa.
 
Nyete wewe ndo wakutufanyia hivi unabahati nyuzi zako hazijapita mikononi mwangu muulize joker usingedhurumu mtu humu unabahati sana
 
Back
Top Bottom