Nawaogopa hao wakuu waliturusha kachura mikadi jua kaliii...jamaa waonevu sana wakipata wanyonge wao....
Huku mtwara ndo hatutaki hata kuwasikia maana shughuli yao...
Nawaogopa hao wakuu waliturusha kachura mikadi jua kaliii...jamaa waonevu sana wakipata wanyonge wao....
Mchezo ndio kwanza unaanza, Raia siku hizi wanachonga sana, ngoja amri ya hatari itangazwe kutoka ndani saa mbili asubuhi kulala saa kumi jioni, tuone hizo wowowo zenu mtatingishia wapi?
Si sawa kupiga raia,wakumbuke raia ndio wanaowalipa wao mishahara kupitia kodi wanazokatwa,pia wao waliamua kuforce kupita njia ambayo siyo yao.Walipaswa wawe wapole na si kujichukulia sheria mkononi,na kwanin wasisafirishe zana zao mida ya usiku wakat hakuna purukushani nyingi.Kama walinzi wetu wanatupiga adui watafanyanyaje? Pia wakumbuke mafunzo yao ni ya hali ya juu na hawakufunzwa kuwapiga raia.NADHANI WAKATI UMEFIKA KWA BAADHI YA WANAJESH KUACHA KUHARIBU SIFA NZURI YA JESH LETU.
yaani angekuwa aliyepigwa ni either mume wangu au kaka angu au dady ningemtafuta huyo mwanajeshi hadi nimjue ningetumia uanawake wangu na ningemfanya bwabwa shwain
Umetisha kwa kweli
MTWARA usisahau mkuuWanatumika ki-Siasa..Wanajua kabisa wakifanya hivyo watu wataingia uoga..Sababu ni serikali mbili..
Huu mchezo hata Zanzibar wanautumia sana kipindi cha kampeni..
Rais na Lukuvi Wametoa matamko ...Hayo ni maagizo kutoka juu..