Monyiaichi
JF-Expert Member
- Jul 5, 2012
- 1,826
- 508
Nimeisoma maoni yao yalikuwa dhidi ya mafisadi wanataka wanyongwe sio kuwa wanadai mabadiliko.
sasa katiba ikibadilishwa ina maana na mabadiliko yatatokea automatically, sidhani kama watabaki hata mmoja katika viongozi walioko madarakani, hata wakiwepo no. ni ndogo sana. kwa hiyo mawazo yako ni sahihi