Hili hutokea pale Sirikali inapowakandamiza raia wake wenyewe, kuwadhulumu, kuwabagua, kuwanyima fursa, kutowajali hali zao za maisha. Serikali ikiwa ivi, basi raia nao huwaona waasi kuwa ni wakombozi wao. Huko kujifanya Al shabbab ni kuzuga tu, lakini kundi hilo lina watu ambao wamechoshwa na sirikali yao tu. Afrika inajulikana maandamano kwa mikono mitupu raia wataumia tu, sasa heri kwao kujiunga kwenye vikundi ivo kupambana kwa silaha.
Kitu kingine ivi vikundi ukitizama vimeanziaje, utaona tu sababu ndio ile ile, has to do with how the government is running the country