Sun Zu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2022
- 761
- 2,115
K
Katika mfululizo wa mashambulizi ya Makombora ya Iran huko Israel duru zinaeleza kuuawa kwa maofisa wawili wakubwa wa kijeshi Wa Jeshi la Morocco waliokuwa katika mafunzo ya pamoja na IDF huko Haifa.
Aidha mwanajeshi mmoja alinusurika kwa majeraha na yupo anatibiwa.
My take: Hawa waisrael wameumbwa kwa chuma mazee, haya Makombora ya Iran Kila yakirushwa tumekuwa tukiambiwa TU sita wamejeruhiwa, 13 wamejeruhiwa, 20 wamejeruhiwa, huwa Hakunaga kifo kwa muisrael😀.
Ona Sasa Hadi kombora lililoshambulia KITUO Cha pamoja Cha mafunzo Kati ya IDF na Wamoroko kimechagua kuwaua Wamoroko wawili, kujeruhi mmoja, lakini waisrael ni kimya, haya Makombora hayafai, Yana ubaguzi sana😂
Katika mfululizo wa mashambulizi ya Makombora ya Iran huko Israel duru zinaeleza kuuawa kwa maofisa wawili wakubwa wa kijeshi Wa Jeshi la Morocco waliokuwa katika mafunzo ya pamoja na IDF huko Haifa.
Aidha mwanajeshi mmoja alinusurika kwa majeraha na yupo anatibiwa.
My take: Hawa waisrael wameumbwa kwa chuma mazee, haya Makombora ya Iran Kila yakirushwa tumekuwa tukiambiwa TU sita wamejeruhiwa, 13 wamejeruhiwa, 20 wamejeruhiwa, huwa Hakunaga kifo kwa muisrael😀.
Ona Sasa Hadi kombora lililoshambulia KITUO Cha pamoja Cha mafunzo Kati ya IDF na Wamoroko kimechagua kuwaua Wamoroko wawili, kujeruhi mmoja, lakini waisrael ni kimya, haya Makombora hayafai, Yana ubaguzi sana😂