hibiscus interior
JF-Expert Member
- Jan 13, 2016
- 1,168
- 594
mwingne namuonaga ana miaka40. lakin serikal inamuomba astaafu umri umeeenda
Tumeamua ieleweke na kusomeka vivyo hivyo..dirth=death
Hiyo haihusiani mkuu maana huyo wa darasa LA saba naamini mpaka birth certificate ina jina hilo hilo alilorudia nalo shule,I think wao wanaangalia ufojaji(bandia)wenye kutumia vyeti ambavyo sio vyao(kaka,dada.,rafiki au ndugu)aliekwisha fariki au anafanya Kazi sector nyingine.ila ujue madaraka ni matamu sana,sijui kama watakubali kuachia eti kwasababu kuna watu miaka ya 90 walifail darasa la saba na wakarudia shule kwa majina yasiyo yao,na sasa wako serikalini kwa miaka 30 ,leo aje kuwatumbua.
Kama hujui miaka ya 80 hadi 90,suala la kurudia shule kwa style hiyo,lilikua ni common,kwasababu kufaulu kwenda secondary ilikuwa vigumu sana,kwahiyo mtu aliweza kurudia hata zaidi ya mara mbili ili afaulu na kuendelea na masomo,
bado nipo nina spear head mabadiliko ina a positive way!Ormunada katika ubora wake....BTW Umekumbukwa na JPM katika teuzi zake maana ghafla umeasi mabadiliko...
tafuta sasanashangaa
Jamani Death & Birth Cert. zimeanza kuwa dili si hata zaidi ya miaka kumi iliyopita. Watu walikuwa wanazaliwa hospitali kabisa tena za serikali lakini hawakuwa wanapewa hivi vyeti maana ilkuwa mpaka udai. Registrar wa vifo na vizazi alikuwaga bado usingizini.
still=stealI know there was a time the system was technical know who but that is changing now, believe me that reading you did while preparing for your exams, that research you did for your essays it's a knowledge in your head and no body can still it from you.
Asante.still=steal
= umedhulumu
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Karibu...huwa napenda sana michango yakoAsante.
Wapendwa habari, Kwa wale ambao vyeti vyao ni feki hasa cha form four au form six na ni muajiriwa wa serikali, na wale wanaotumia majina na vyeti vya ndugu au marafiki zao, wanashauriwa kuacha kazi mara moja.. tena kwa uharaka..
Narudia acha kazi kabla hawajaja kukugundua.. ukaguzi umeanza kwa baadhi ya taasisi na mashirika ya umma..
Watu wanazimia hovyohovyo wakiulizwa kuhusu cheti cha form four na cheti cha kuzaliwa.
Kama cheti chako cha kuzaliwa nacho kimefojiwa ili kiendane na cha form four au form six yaani wewe UMEKWISHA KABISA.
Kama mfano wewe upo idara ya elimu na aliyekupa cheti au uliyempa cheti yupo idara nyingine mfano polisi au afya, basi nyote wawili mko hatarini kufungwa na kurejesha fedha zote za serikali ikiwemo mishahara ulizowahi kulipwa.
Kwa wale ambao nyumbani walikozaliwa wanajulikana kwa majina yao halisi mfano John J. Khamisi na kazini wanaitwa Petter S. Rutaza ndio hao haswaaa wanatafutwa kwa UDI na UVUMBA.
Umetengenezwa mtandao ambapo unaratibu majina na vyeti vyote. HAPA KAZI MOJA MTU MMOJA. Mtaarifu na ndugu yako inauma hasa kwa wale mnaowategemea Ndugu walio kwenye hii kasumba ila kwa kuwa tuliipenda wenyewe basi haina budi kuvumilia MUNGU yupo
Sio Mheshimiwa Lowassa au CCM anaependa fakeHapo ccm itapoteza kura nyingi sana,takribani kura milioni 7.
Namuona lowasa akitabasamu kwa furaha huko aliko
duu bonge la lossNdio