Wanajamvi wenye vyeti feki muichukue kama ilivyo japo inauma

Hakuna lolote acha kutisha watu,toka wameanza kusema hivyo kuna ukaguzi wowote umefanyika?
Walimu wengi wa shule za msingi,polisi,manesi ndio wanaongoza kwa kufoji au kutumia vyeti sio zao,unadhani serikali haijui?
Utumishi walianza na mpolisi unaambiwa karibi polisi 400 wamekimbia kazu.
 
Wakilinganisha na cheti cha kuzaliwa wanaweza mkamata, ama labda atumie cheti cha kuzaliwa cha huyo marehemu
Atakufa mjinga sasa kama cheti cha kuzaliwa ni kingine na cha shule ni kingine... Wengi waliozaliwa vijijin miaka ya 60 hadi 89s sidhani kama walikuwa wanapewa vyeti vya kuzAliwa
 
Kwa mtu aliyetumia cheti cha ndugu yake kusoma na kupata ujuzi kwa mfano jeshi na uuguzi sioni shida maana kaenda chuo kafuzu mafunzo hata kama anatumia cheti cha mtu ila kazi anaiweza hapo haina shida ila shida ipo kwa mtu ambae hata mafunzo hajafanya halafu akafoji chet cha chuo.... Cha msingi wawa ache tu ila wabane system ya sasa wahakikishe hili swala linakomeshwa
 
Acha kutishana wewe.wenyewe wakague tu .kwan wameanza leo.jaman nyie pigeni kazi taifa lisonge msiogope kukaguliwa ni mambo ya kawaida
 
nashangaa
Atakufa mjinga sasa kama cheti cha kuzaliwa ni kingine na cha shule ni kingine... Wengi waliozaliwa vijijin miaka ya 60 hadi 89s sidhani kama walikuwa wanapewa vyeti vya kuzAliwa

Jamani Death & Birth Cert. zimeanza kuwa dili si hata zaidi ya miaka kumi iliyopita. Watu walikuwa wanazaliwa hospitali kabisa tena za serikali lakini hawakuwa wanapewa hivi vyeti maana ilkuwa mpaka udai. Registrar wa vifo na vizazi alikuwaga bado usingizini.
 
Kama hii inshu ni kweli basi wasomi waliopo mitaani wajiandae kupata ajira kwa raha zao kwa sbb watakao kamatwa na vyeti feki ni wengi na magepu kazin yataachwa mengi.
 
Inauma sana waliosoma kweli ambao ni watoto wa masikini wapo mitaani hawana ajira, ila wenye uwezo wa kufoji wapo makazini.
 
Vipo dirth certificate subiri yakufike utakitafuta tu, majuzi kati najaza fomu ya mtoto ya mkopo HESLB kama mzazi amefariki ujaze namba ya dirth cert.
Kweli hata sisi nyumban kwetu tuna death certificates za wazazi wetu, zinatusaidia ktk kufatilia mirathi
 
Mimi nina cheti cha form cha mtu mwingine lkn cheti hicho sio feki na nikakitumia kusomea certificate sasa nimeajiriwa serikali je wataweza kunibaini?Mwenye cheti hicho alishakufa na hakuwaikuajiriwa serikalini
Mkuu watakushughulikia tu...
 
unaweza kutakiwa kujibu kesi ya mauaji amabayo ni ngumu zaidi ya kufoji cheti hupo salama kabisa
Ormunada katika ubora wake....BTW Umekumbukwa na JPM katika teuzi zake maana ghafla umeasi mabadiliko...
 
Back
Top Bottom