Nikilewa mniache
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 19,332
- 52,058
Hili hapaLa kwako liko wapi
Hili hapaLa kwako liko wapi
Huu msemo 😂😂😂Hili nalo mkalitizame
Hahahaaa!!Kuna huyu jamaa anaitwa mimiamadiwenani siku moja nikakaa kulitafakari hili jina kumbe ukilinyumbua unaopata Mimi amadi wewe Nani...siku hizi simuoni kapotea sn
Naunga Mkono Hoja, Hata Mimi Nawashangaa.Sijui kwanini wanajipea majina ambao si ya kwao... Serikali iliangalie hili kwakweli