Habari ya asubuhi wadau! Nipo safari jamani na Bunda expres frm Mwnz to Dom 2ombeane jamani 2fike njema!
<br />Habari ya asubuhi wadau! Nipo safari jamani na Bunda expres frm Mwnz to Dom 2ombeane jamani 2fike njema!
<br /><br /><br />
<br />
Tukuombee wewe peke yakooo, au tuwaombee abiria wote? Harafu kwa nini umepanda Bunda Express Shabybi umekosa nafasi? Maana kule Shabybi huitaji maombi kule ungeimba mapambio tu! Ungeondoka Mwnz saa mbili asbh na kufika Dom saa hiyohiyo usiku. Kila aina ya Pambio ungekuwa umeshaimba. Kwa kifupi Shuka humo Bunda Subiri Shabybi.