KIM JONG
JF-Expert Member
- Jun 11, 2013
- 213
- 57
WANAHITAJIKA WAUZA DUKA (SHOP ATTENDANTS)
SIFA ZA MWOMBAJI
-Umri: miaka 18 - 25
-Elimu Form Four au Form Six lakini aliyepata cheti cha masomo (academic certificate)
-Awe muaminifu, anayejituma na mwepesi wa kuelewa.
BAADHI YA MAJUKUMU MUHIMU:
-Kuuza vifaa vya dukani
-Kuhakikisha bidhaa za dukani ziko mpangilio sahihi
-Kuweka safi mazingira ya ndani na nje ya duka.
- Kuhakikisha Mali inayoingia na inayotoka dukani inaingizwa kwenye vitabu husika.
- Uwezo wa kutoa huduma bora kwa wateja - lugha nzuri, usafi binafsi, unyenyekevu.
ENEO LA KAZI: Wilaya ya Ilala (DSM) na Kisarawe (PWANI).
MALAZI
Kampuni ina utaratibu wa kumpangia / kuwapangia chumba wafanyakazi katika eneo lililo karibu na duka husika.
Mwenye sifa tajwa Tafadhali tuma barua ya maombi ya kazi na CV yako fupi kwa email ifuatayo:
rvbizsolutions@gmail.com
Aliyepata mafunzo ya computer atafikiriwa haraka.
Mwisho wa kupokea maombi ya kazi ni tarehe 14/11/2018
SIFA ZA MWOMBAJI
-Umri: miaka 18 - 25
-Elimu Form Four au Form Six lakini aliyepata cheti cha masomo (academic certificate)
-Awe muaminifu, anayejituma na mwepesi wa kuelewa.
BAADHI YA MAJUKUMU MUHIMU:
-Kuuza vifaa vya dukani
-Kuhakikisha bidhaa za dukani ziko mpangilio sahihi
-Kuweka safi mazingira ya ndani na nje ya duka.
- Kuhakikisha Mali inayoingia na inayotoka dukani inaingizwa kwenye vitabu husika.
- Uwezo wa kutoa huduma bora kwa wateja - lugha nzuri, usafi binafsi, unyenyekevu.
ENEO LA KAZI: Wilaya ya Ilala (DSM) na Kisarawe (PWANI).
MALAZI
Kampuni ina utaratibu wa kumpangia / kuwapangia chumba wafanyakazi katika eneo lililo karibu na duka husika.
Mwenye sifa tajwa Tafadhali tuma barua ya maombi ya kazi na CV yako fupi kwa email ifuatayo:
rvbizsolutions@gmail.com
Aliyepata mafunzo ya computer atafikiriwa haraka.
Mwisho wa kupokea maombi ya kazi ni tarehe 14/11/2018