Wanahabari Wakimfuata Nyuma Mwanasheria Mkuu Wa Zamani Andrew Chenge Kutaka Kumhoji

Magu hawezi kumgusa huyo. Sitarajii lolote la maana kwenye serikali ya CCM, ambao ndio waliosababisha majanga yanayotutesa.

Watu ambao wanakula hadi rambirambi za wafiwa, leo waje kuniambia wana uchungu na maisha magumu ya wananchi wao.

Hata haya ya makinikia naona ni maigizo tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…