Nichumu Nibebike
JF-Expert Member
- Aug 28, 2016
- 8,660
- 15,744
Sio rahisi kumfunga kwa kutumia shieria za nchi hii. Karibu 80% ya sheria za nchi hii kazitunga yeye... Kabadilisha sheria nyingi sana kutoka kwenye ordinances to Acts. Kumbuka ordinance ni sheria tulizozirithi kwa mkoloni au sheria zilizokuwa zinatumika Uingereza kabla ya mwaka 1920 ila acts ni sheria zilizotungwa na bunge letu na Chenge kama mwanasheria mkuu wa serikali na pia kama mbunge kashiriki kwa kiasi kikubwa kuziandaa sheria hizo. So kumfunga ni ndoto ya mchana.Huyu jamaa alitakiwa awe gerezani.
Wanamjua, kwahiyo wanamfuata kwa tahadhari Sana, waulize BBC alichowafanyia, walikaa na mike dk 5 nzima jamaa kauma tu mdomo. Haooo wakakunja mike wakasepa