Wanahabari Wakimfuata Nyuma Mwanasheria Mkuu Wa Zamani Andrew Chenge Kutaka Kumhoji

TataMadiba

JF-Expert Member
Feb 7, 2014
9,866
5,742
2017-06-12 19.15.39.png
 
Magu hawezi kumgusa huyo. Sitarajii lolote la maana kwenye serikali ya CCM, ambao ndio waliosababisha majanga yanayotutesa.

Watu ambao wanakula hadi rambirambi za wafiwa, leo waje kuniambia wana uchungu na maisha magumu ya wananchi wao.

Hata haya ya makinikia naona ni maigizo tu.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom