Nilimwona Ikulu wakati Samia anatangaza kuruhusu mikutano ya siasaNi wakili mbobezi aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Pia ni mwanasiasa nguli aliyehusishwa kwenye kashfa nyingi za kifisadi nchini.
Kwa Sasa Andrew Chenge hasikiki kabisa.
Yuko wapi nyoka mwenye makengeza?
Fisadi kuu la taifa hiloNi wakili mbobezi aliyewahi kuwa mwanasheria mkuu wa serikali.
Pia ni mwanasiasa nguli aliyehusishwa kwenye kashfa nyingi za kifisadi nchini.
Kwa Sasa Andrew Chenge hasikiki kabisa.
Yuko wapi nyoka mwenye makengeza?
Atapumzikaje na pesa zote zile alizoliibia taifa..?!Mwache mzee apumzike
Kama una pesa Segerea ukaa masikiniAlitakiwa awe Segerea yule.
We naona unafurahia na unamkejeli mzee wa kupiga maadiliNdo ubaya wa system