johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,015
- 142,055
Kwa sasa CCM Baada ya mtemi Chenge kuzeeka Mwanasheria pekee aliyebaki mwenye Uwezo na Uzoefu wa kuchambua vifungu Vya Mkataba ni Patrobas Katambi.
Nashauri Katambi aingizwe kwenye Kikosi cha Uelimishaji bila ya kujali Uchadema wake.
Mungu wa mbinguni awabariki Sana!