Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
Ni muda mfupi ulio pita,wana UDSM tukiwa tunafurahia pesa kutolewa maarufu kama boom,chuo kimetoa maamuzi ya kuwafukuza chuo moja kwa moja wanafunzi wote waliohusika na kuhamasisha mgomo.
Ni takribani wiki tatu sasa,hali ya UDSM imekuwa tete,baada ya wenzetu kusimamishwa masomo kwa kosa la kudai mikopo kwa mwaka wa kwanza walio kosa!
Ni takribani wiki tatu sasa,hali ya UDSM imekuwa tete,baada ya wenzetu kusimamishwa masomo kwa kosa la kudai mikopo kwa mwaka wa kwanza walio kosa!