Wanawafunzi wanawatesa sana waalimu ndio maana waalimu wanabuni adhabu za hovyo hovyo.Sisi tulipitishwa tuangalie chemba la mavi tulilolijaza kwa magodoro,Makopo nk plus ule mvuke na harufu ukigeuza shingo unakula kwenzi
Tulipanga mstari kama vile tunaaga maiti
PoleniHii imenikumbusha shule fulani hukohuko mbeya wasichana tulishikishwa pedi chafu na mbichi tena kwa mikono kwa kupanga mstari hivyo hivyo. Shule nyingi za mbeya walimu ni makatili sana
Ulikuwa una ishi vipi?Sehemu kubwa walimu walikuwa hawanisumbui
Sasa mwarabu anaingiaje hapa?Sijaona sehemu iiyohusisha dini ya walimu ila angefanya mwarabu kwa giza mgeona balaa lake humu
Hapo walimu hawakutumia busara ingawa sio serious kama unavyo taka kutuaminishaUnaweza pita kimya kimya boss ni seriously issues hizi, sio lazima awe ndugu yako jaribu kuizoesha roho iwe na imani huruma..
Ndio maana tunataka serikali iwaoeleke jeshini owa lazima maana mnadeka sana hata mambo ya kawaida tuu mnaona matesoSisi tulipitishwa tuangalie chemba la mavi tulilolijaza kwa magodoro,Makopo nk plus ule mvuke na harufu ukigeuza shingo unakula kwenzi
Tulipanga mstari kama vile tunaaga maiti