Salanga
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 364
- 44
Sio mbaya !
Natoa ushuhuda.
Nimesoma kibaha na sasa nasoma MD abroad.
Wanafunzi toka Kibaha hapa ni 7 sasa.Maprof wamewatukubali.Tupo kwenye vyuo 3 ,lakin kwa kila chuo maprof wameshaonesha apreciation.
Ni vizuri kujenga mazoea ya appreciation maana duniani tuna uwezo tofauti ,tumejaliwa viwango tofauti vya kufikiria.
Tanzania yetu haiwapi wenye vipaji nafasi kuonesha vipaji vyao,mfano kuna Mtanzania Hungari ni Engeneer mzuri sana na wizara ya elimu walimfuata wakashindwana kwenye malipo ,hela zote EPA,TANGOLD ,KAGODA n.k,
TUIBADILISHE SERIKALI.
Natoa ushuhuda.
Nimesoma kibaha na sasa nasoma MD abroad.
Wanafunzi toka Kibaha hapa ni 7 sasa.Maprof wamewatukubali.Tupo kwenye vyuo 3 ,lakin kwa kila chuo maprof wameshaonesha apreciation.
Ni vizuri kujenga mazoea ya appreciation maana duniani tuna uwezo tofauti ,tumejaliwa viwango tofauti vya kufikiria.
Tanzania yetu haiwapi wenye vipaji nafasi kuonesha vipaji vyao,mfano kuna Mtanzania Hungari ni Engeneer mzuri sana na wizara ya elimu walimfuata wakashindwana kwenye malipo ,hela zote EPA,TANGOLD ,KAGODA n.k,
TUIBADILISHE SERIKALI.