Wanafunzi wengi hawataripoti vyuoni kwa sababu hizi

mud-oil-chafu

JF-Expert Member
Dec 27, 2020
588
950
Ukiangalia ile pdf ya loan board watu wanawastan wa ada shilingi 350000 rough estimation, vyuo vingi ada ni mill +.

Wanachuo wengi ada wanajilipia na huwa wanalipia kupitia like boom la kwanza huku hela ya books and stationary 200000 ndo huwa inawapa confidence so wengi palehiwa wanakata kaka laki nne hivi kati ya ile laki Saba na kudumbukiza kwenye ada, pia vyuo huwa vinachelewa kufungua, huwa ni 15 Nov had 18, hiyo huwa Ina wapa unafuu wanafunz kwan boom la January huwa jirani.

Hiyo huwafanya walipe ada hata boom lote la kwanza bila wenge la njaa, tofaut na mwaka huu vyuo vina wahi kufungua, almost 90% hawana books and stationary na wamepewa fees ndogo hyo 350000 kwa wastanii. My thought watu wengi hawatareport Kwan kimahesabu ni ngumu sana kusurvive kwa hela hiyo na hata wataoreport wengi watadrop on the second semester or the first.

Wazazi huwa wanaweza sana kuwalipia ada Ila Kuna sababu huwa zinafanya wasilipe nazo ni;

👉Wazazi wengi mtoto Akisha maliza form six huwa wanajitoa kuhusu shule na mtoto huwa anajihangaikia mwenyewe na kimbilio huwa ni helsb, ukumbuke hata ile hela ya kuapply vyuo wazazi wengi huwa hawatoi kwa watoto zao.

👉Kutokana na helsb walivokuwa wakigawa mkopo hapo mwanzo ilionekana kama university education is free, kitu ambacho SI sahihi, hata Mimi nshawahi ambiwa dogo komaa huko juu education ni Bure na Kuna boom.

🤕My opinion wazazi mtuelewe tutapo waomba pesa za ada, wazazi wengi huwa hawatumi pesa kwa watoto zao Kwan huwa ni umefanyia nin laki tano.

🤕Wanafunzi tuishi kwa umakini sana tupunguze non senses na kuwaza madem, pombe na mageto makali.

🤕Helsb ongezeni hili dau japo bajet imeshapita aisee watu wana mabalaa wazaz hawaelew huko.

🥶Washikaji zangu wote wamedeclare kuto lipa ada na kukinga boom zote nne huku wakiandika kupiga special exams kama HESLB watapunguza hela ya books and stationary.

🥶Kama wanafunzi wa mwaka wa pili na watatu wanawaza kuacha chuo kama ada au boom itapunguza vipi kuhusu first year ambaye hata hajareport.

Huwezi kufa na afya njema Tanzania
 
Me nazani labda kwa wale wanaoenda kusoma MD private ndo itakua ngumu kwenda maana ada ni ndefu ila wengine watachangishana na familia Zao plus boom mambo yatasonga mkuu
 
Tulieni ninyi hizo hela zinatosha kabisa. Yaani upewe hela ya bumu ushindwe kulipia ada. Huo ni uzembe wa hali ya juu.
 
Me nazani labda kwa wale wanaoenda kusoma MD private ndo itakua ngumu kwenda maana ada ni ndefu ila wengine watachangishana na familia Zao plus boom mambo yatasonga mkuu
Wazazi hawana time na shule mzee , watu wanaenda tu bcoz wapo ndan ya system.... Nov so mbali ttaona memgi
 
Mbona taarifa haipokamili wapi walisema watapunguza boom na ada kwa continous wakati mkataba tushafunga zamani
 
Tulieni ninyi hizo hela zinatosha kabisa. Yaani upewe hela ya bumu ushindwe kulipia ada. Huo ni uzembe wa hali ya juu.
Kuongezea laki nane mnazani simple enh ...huwa tunaongezea lak nne Tena kwa mbinde , laki nane mbali sana ww, mixa Kodi na mazaga zaga mengne
 
Wazazi hawana time na shule mzee , watu wanaenda tu bcoz wapo ndan ya system.... Nov so mbali ttaona memgi
Ni kweli mkuu na hasa ukizingatia ajira zenyewe amna mzazi anaona bora asipoteze maela yake ila ngoja tuone mkuu
 
Ni kweli mkuu na hasa ukizingatia ajira zenyewe amna mzazi anaona bora asipoteze maela yake ila ngoja tuone mkuu

Embu leta iyo source kwanza maana ishaanza kunichanganya hapa
Sahau kuhusu umezoea kupokea shingap,
Ule mkataba umesema utampa mtu ada kutokana na siku anazokaa chuoni na ada kulingana na wakati husika .

Umesahau last semester mwaka Jana watu wamepojea boom 200000 wengine laki na 80 , hapo bado unataka mkataba gan shehe.....mambo magumu mzee , wazazi hawatusomi nchi inajitoa
 
Sahau kuhusu umezoea kupokea shingap,
Ule mkataba umesema utampa mtu ada kutokana na siku anazokaa chuoni na ada kulingana na wakati husika .

Umesahau last semester mwaka Jana watu wamepojea boom 200000 wengine laki na 80 , hapo bado unataka mkataba gan shehe.....mambo magumu mzee , wazazi hawatusomi nchi inajitoa
Unachanganya kati ya ada na boom, boom ni hela ya matumizi ndio unapewa kulingana na siku unazosoma chuo ambapo kama ikitokea some circumstances wanafunzi wasipokwenda chuo kwa wiki kadhaa ndio boom linapunguzwa kwasababu hela ipo calculated kwa matumizi yako ya siku ukiwa chuoni , lakini ile hela ya Ada ipo static haipunguzwi sababu huwa inalipwa moja kwa moja chuo hupewi wewe.
 
Unachanganya kati ya ada na boom, boom ni hela ya matumizi ndio unapewa kulingana na siku unazosoma chuo ambapo kama ikitokea some circumstances wanafunzi wasipokwenda chuo kwa wiki kadhaa ndio boom linapunguzwa kwasababu hela ipo calculated kwa matumizi yako ya siku ukiwa chuoni , lakini ile hela ya Ada ipo static haipunguzwi sababu huwa inalipwa moja kwa moja chuo hupewi wewe.
Exactly ndo maana nimemshangaa how ada inapunguzwa
 
Ukiangalia ile pdf ya loan board watu wanawastan wa ada shilingi 350000 rough estimation, vyuo vingi ada ni mill +.

Wanachuo wengi ada wanajilipia na huwa wanalipia kupitia like boom la kwanza huku hela ya books and stationary 200000 ndo huwa inawapa confidence so wengi palehiwa wanakata kaka laki nne hivi kati ya ile laki Saba na kudumbukiza kwenye ada, pia vyuo huwa vinachelewa kufungua, huwa ni 15 Nov had 18, hiyo huwa Ina wapa unafuu wanafunz kwan boom la January huwa jirani.

Hiyo huwafanya walipe ada hata boom lote la kwanza bila wenge la njaa, tofaut na mwaka huu vyuo vina wahi kufungua, almost 90% hawana books and stationary na wamepewa fees ndogo hyo 350000 kwa wastanii. My thought watu wengi hawatareport Kwan kimahesabu ni ngumu sana kusurvive kwa hela hiyo na hata wataoreport wengi watadrop on the second semester or the first.

Wazazi huwa wanaweza sana kuwalipia ada Ila Kuna sababu huwa zinafanya wasilipe nazo ni;

👉Wazazi wengi mtoto Akisha maliza form six huwa wanajitoa kuhusu shule na mtoto huwa anajihangaikia mwenyewe na kimbilio huwa ni helsb, ukumbuke hata ile hela ya kuapply vyuo wazazi wengi huwa hawatoi kwa watoto zao.

👉Kutokana na helsb walivokuwa wakigawa mkopo hapo mwanzo ilionekana kama university education is free, kitu ambacho SI sahihi, hata Mimi nshawahi ambiwa dogo komaa huko juu education ni Bure na Kuna boom.

🤕My opinion wazazi mtuelewe tutapo waomba pesa za ada, wazazi wengi huwa hawatumi pesa kwa watoto zao Kwan huwa ni umefanyia nin laki tano.

🤕Wanafunzi tuishi kwa umakini sana tupunguze non senses na kuwaza madem, pombe na mageto makali.

🤕Helsb ongezeni hili dau japo bajet imeshapita aisee watu wana mabalaa wazaz hawaelew huko.

🥶Washikaji zangu wote wamedeclare kuto lipa ada na kukinga boom zote nne huku wakiandika kupiga special exams kama HESLB watapunguza hela ya books and stationary.

🥶Kama wanafunzi wa mwaka wa pili na watatu wanawaza kuacha chuo kama ada au boom itapunguza vipi kuhusu first year ambaye hata hajareport.

Huwezi kufa na afya njema Tanzania
Wanachuo wengi sana wataripoti mkuu ila wataishi maisha magumu sana katika kipindi chote cha maisha ya chuo. Dada zetu watakuwa katika kipindi kigumu chenye ushawishi mkubwa kutokana na njaa. Tutegemee wanachuo kuishi kwa pasi ndefu kwa sana!
 
Taasisi nyingi hapa nyumbani zimekua zikiendeshwa politically na sio professionally
 
Unachanganya kati ya ada na boom, boom ni hela ya matumizi ndio unapewa kulingana na siku unazosoma chuo ambapo kama ikitokea some circumstances wanafunzi wasipokwenda chuo kwa wiki kadhaa ndio boom linapunguzwa kwasababu hela ipo calculated kwa matumizi yako ya siku ukiwa chuoni , lakini ile hela ya Ada ipo static haipunguzwi sababu huwa inalipwa moja kwa moja chuo hupewi wewe.
NMm nazungumzia boom mzee ada dharula tu
 
Wanachuo wengi sana wataripoti mkuu ila wataishi maisha magumu sana katika kipindi chote cha maisha ya chuo. Dada zetu watakuwa katika kipindi kigumu chenye ushawishi mkubwa kutokana na njaa. Tutegemee wanachuo kuishi kwa pasi ndefu kwa sana!
Live Sasa hapo ndo boda boda wataserereka tu
 
Ukiangalia ile pdf ya loan board watu wanawastan wa ada shilingi 350000 rough estimation, vyuo vingi ada ni mill +.

Wanachuo wengi ada wanajilipia na huwa wanalipia kupitia like boom la kwanza huku hela ya books and stationary 200000 ndo huwa inawapa confidence so wengi palehiwa wanakata kaka laki nne hivi kati ya ile laki Saba na kudumbukiza kwenye ada, pia vyuo huwa vinachelewa kufungua, huwa ni 15 Nov had 18, hiyo huwa Ina wapa unafuu wanafunz kwan boom la January huwa jirani.

Hiyo huwafanya walipe ada hata boom lote la kwanza bila wenge la njaa, tofaut na mwaka huu vyuo vina wahi kufungua, almost 90% hawana books and stationary na wamepewa fees ndogo hyo 350000 kwa wastanii. My thought watu wengi hawatareport Kwan kimahesabu ni ngumu sana kusurvive kwa hela hiyo na hata wataoreport wengi watadrop on the second semester or the first.

Wazazi huwa wanaweza sana kuwalipia ada Ila Kuna sababu huwa zinafanya wasilipe nazo ni;

👉Wazazi wengi mtoto Akisha maliza form six huwa wanajitoa kuhusu shule na mtoto huwa anajihangaikia mwenyewe na kimbilio huwa ni helsb, ukumbuke hata ile hela ya kuapply vyuo wazazi wengi huwa hawatoi kwa watoto zao.

👉Kutokana na helsb walivokuwa wakigawa mkopo hapo mwanzo ilionekana kama university education is free, kitu ambacho SI sahihi, hata Mimi nshawahi ambiwa dogo komaa huko juu education ni Bure na Kuna boom.

🤕My opinion wazazi mtuelewe tutapo waomba pesa za ada, wazazi wengi huwa hawatumi pesa kwa watoto zao Kwan huwa ni umefanyia nin laki tano.

🤕Wanafunzi tuishi kwa umakini sana tupunguze non senses na kuwaza madem, pombe na mageto makali.

🤕Helsb ongezeni hili dau japo bajet imeshapita aisee watu wana mabalaa wazaz hawaelew huko.

🥶Washikaji zangu wote wamedeclare kuto lipa ada na kukinga boom zote nne huku wakiandika kupiga special exams kama HESLB watapunguza hela ya books and stationary.

🥶Kama wanafunzi wa mwaka wa pili na watatu wanawaza kuacha chuo kama ada au boom itapunguza vipi kuhusu first year ambaye hata hajareport.

Huwezi kufa na afya njema Tanzania
Ishu vikobaa tu
 
Back
Top Bottom