Wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza kufanyiwa interview!

Wanafunzi wanaoingia darasa la kwanza kufanyiwa interview!

Halafu ni kitu gani kitakufanya ama kukuzuia kumwanzisha shule mtoto wa miaka6? Huyu mtoto anajua vitu vingapi mpaka ufikie kusema hatoweza kufundishika? navyojua, wengi tulianza hatujuhi kitu sema tulikuwa na uwezo wa kufundishika na ndo maana tuko hapa leo.

Mtoto kushindwa kujibu ama kufahamu kujua jambo fulani katika umri wa miaka 6 hakumaanishi huyo mtoto hawezi kufundishika. Na ukitaka kuona mtoto anao uwezo wa kawaida wa kufundishika ni rahisi tu, muulize mama yake anaitwa nani? muulize jina na majina ya ndugu zake wa karibu, muulize mkono wake una vidole vingapi? muulize paka ana miguu mingapi. Mtoto yeyeto ukimuuliza vitu hivi ni lazima avijibu na inatosha kuelewa kwamba huyo mtoto ni mzima na ana uelewa wa kawaida kama binadamu kwasababu kikubwa ni kupima uwezo wake wa kukumbuka. Kama ubongo wake unaweza kutunza na kuweka kumbukumbu inatosha na hii ni kazi ya maswali mawili tu yanatosha, haya hayahitaji kufanywa kama intetview. Ni vitu vidogo vya kawaida, kutengeneza interview kwa ajiri ya hawa watoto eti ndo waandikishwe ni kutengeneza tatizo ambalo halina maana.
Umesema vema sana, je unadhani maswali hayo hayaulizwi?? Pia kwa fikra zako unadhani hakuna cha ziada zaidi ya hapo??

TAFAKARI

* Enzi zenu mlikuwa wangapi darasani??
* Wito wa walimu wako wa zamani unalingana na wa walimu wa Leo??
*Utayari wa wanafunzi wa Leo ni sawa na wenu wa zamani??

Niishie hapa, ila ukitaka mwanao aende la kwanza kisa tu ana miaka Sita, usitoe povu ukiona anahitimu pasipo kujua K. K.K kwa kiwango cha drs la 7
 
Hata mtoto naweza kumfanyia interview hiyo sio shida.Unachopima pale ni his/her mental capacity.Shida ni kwamba is it justified.Kwa sasa watoto walio wengi wana "autism." Nini tatizo?Chanzo ni masumu mengi yaliyojaa kwenye environment yetu.Frankly kama hizo interviews zitakuwa fair watapata watoto wachache sana ambao wata-qualify.Hali ya watoto wetu ni mbaya sana.
Mkuu kama umeelimika shukuru Mungu, watu wanalalamika humu bila kujua huko mitaani mtu anampeleka mtoto awe registered drs la kwanza bila kuwa na msingi wa Elimuya awali. Mtoto akifika la NNE hajui K.K.K kwa kiwango chake wazazi na jamii povu linaanza kuwatoka, wanadhani walimu ni waganga wa kienyeji au manabii wanaofanya miujiza.
 
kama n kwel, bac karl marx mawazo yake bado yanaish na yataish daima. alsema serkal ubun social structure tofaut tofaut il kutengeneza uhalal wa baadh ya wa2 kujiengua wenyewe kweny fursa za kielm, ajira, biashara n.k lengo n kuselect wachache tu. mf baada ya kuona form six weng wamehtm wakasema 2nataka D 2 il wasiokua nazo mapema wajiengue. pia kweny mkopo wakaweka structure il lundo la vjana wakose c kwamba hawawez kuaford hapana wanawez ila kunakuwaga na malengo nyet ya kimkakat kwa maslai ya watawala tu. na uaminisha uma kuwa wanafanya sahih. leo ukamfanyie mtoto mdogo intaview. akat elm ya msng n lazma haiwezekan jaman hi ki2
 
Alafu afike la7 afanye mtihani wa kuchagua Hahahahaha elimu ya kivongo ni full comedy hiv ni ln viongozi wetu watakuwa cliac inatia hasila kwakweli
Mawazo ya kivivu kama ya mleta mada huzaa viongozi wavivu kama walioleta mtihani wa hesabu za kuchagua ili iwe rahisi.

Lakini pia hii sio issue kubwa Kenya wanafanya hizo hizo za kuchagua mbona wako vizuri.

Pia hata mitihani ya vyuo vikuu vikubwa hapa nchini wanafanya mitihani yenye Vichachawizi/vipotoshi.
 
Mawazo ya kivivu kama ya mleta mada huzaa viongozi wavivu kama walioleta mtihani wa hesabu za kuchagua ili iwe rahisi.

Lakini pia hii sio issue kubwa Kenya wanafanya hizo hizo za kuchagua mbona wako vizuri.

Pia hata mitihani ya vyuo vikuu vikubwa hapa nchini wanafanya mitihani yenye Vichachawizi/vipotoshi.
Tusimuhukumu mleta mada mkuu yy kafikisha tu tarifa jinsi zilivyotolewa na viongozi wetu Yaani wabongo hatujui hata tujivunie nn sio elimu sio afya sio miundombinu Yaani ni tabu tupu
 
Tusimuhukumu mleta mada mkuu yy kafikisha tu tarifa jinsi zilivyotolewa na viongozi wetu Yaani wabongo hatujui hata tujivunie nn sio elimu sio afya sio miundombinu Yaani ni tabu tupu
Mleta alikuwa poa kwenye mada, ila michango yake imeonesha analaumu ila analaumu asichokijua.
 
Back
Top Bottom