Wanafunzi wananipa wakati mgumu sana

Wanafunzi wananipa wakati mgumu sana

Ulilazimishwa kuoa huyo mwanamke? Kaa tulia na mke wako coz ndo uliyemchagua
 
cccf76167a155f50c157ba4b04a94e7c.jpg

Mimi ni mwalimu nakafundisha haka kacute, yaani hali yangu ni mbaya!!..... Daily nakonda!
 
Kwaiyo wote wenye sura mbaya wamefanana na baba zao?wengine wanafanana mama zao mnawasingizia bure. Si kweli coz watoto wa kwanza kuzaliwa mara nyingi wanafanana na baba zao awe wa ke/me. Mfano mm ni wa kwanza na namfanana baba yangu pua kucha zote ni baba tupu mbona niko kawaida?
Kumbe mwanaume lazima aoe mzuri ili amzalie watoto wazuri????
 
Kwaiyo wote wenye sura mbaya wamefanana na baba zao?wengine wanafanana mama zao mnawasingizia bure. Si kweli coz watoto wa kwanza kuzaliwa mara nyingi wanafanana na baba zao awe wa ke/me. Mfano mm ni wa kwanza na namfanana baba yangu pua kucha zote ni baba tupu mbona niko kawaida?
Kumbe mwanaume lazima aoe mzuri ili amzalie watoto wazuri????

Duh nimeisoma hii comment mara zaidi ya tano lakini sielewi....

Itakuwa stress zinanifanya hivi. . . Em fafanua vzr mkuu
 
Kwaiyo wote wenye sura mbaya wamefanana na baba zao?wengine wanafanana mama zao mnawasingizia bure. Si kweli coz watoto wa kwanza kuzaliwa mara nyingi wanafanana na baba zao awe wa ke/me. Mfano mm ni wa kwanza na namfanana baba yangu pua kucha zote ni baba tupu mbona niko kawaida?
Kumbe mwanaume lazima aoe mzuri ili amzalie watoto wazuri????
Kuzaa mtoto mzuri ni kwa majaaliwa ya Muumba mbingu na nchi pekee.
 
Back
Top Bottom