Mkuu sijatunga bali umesema ww mwenyewe, mara ooh mke hana sura nzuri sana mara kawa kituko mara......Zungumza yote unayojua, lakini usitoe kauli za kumponda mkeo, kwani kufanya hivyo ni kuyapanda maneno hayo rohoni mwako bila ww mwenyewe kujua. Ongea chanya kuhusu mkeo ili yaliyo chanya yaweze kumea moyoni mwako. Kumbuka sheria hii ya asili isemayo " That, much gathers more is true and that, loss leads to greater loss is equally true in every plane of existance". Ukiongea maneno ya kutomkubali mkeo usishangae baada kipindi fulani negativity juu yake zinaongezeka! Appreciate the beauty of those students in uniform but NEVER speaker negative about your wife, try that it pays bro.