Wanafunzi wananipa wakati mgumu sana

Wanafunzi wananipa wakati mgumu sana

mkuu asikuambie mtu hawa wanafunzi wanatupeleka puta na uniform zao yan unakuta mwanafunzi anarudi nyumbani utafkiri ndo anaenda msafiii

sema tu sheria ndo inatubana la sivyo mamayo zao hawa sijui ingekuaje
 
We inabidi tukutege na askari mwenye skirt tukupige 30 plus
 
Acha kumponda mkeo ndugu yangu utapata laana. Ww unavomuoa hukuona kama amefanana na baba yake? Tujifunze kuwathamini wake zetu kwa maumbile yao, hata ww hapo ulipo hujafikia hitajio lake ila anakuvumilia tu. Tamaa yako ya hao wenye sare isikufanye umponde mkeo ndugu yangu, ukiendelea hivyo basi tambua kuwa hiyo tamaa yako haitaiacha ndoa yako salama
 
Mshonee MKEO Hizo UNIFORM Ili Umtamani Yeye Na Uepuke Balaa la Kwenda Kwa PILATO!!
 
Acha kumponda mkeo ndugu yangu utapata laana. Ww unavomuoa hukuona kama amefanana na baba yake? Tujifunze kuwathamini wake zetu kwa maumbile yao, hata ww hapo ulipo hujafikia hitajio lake ila anakuvumilia tu. Tamaa yako ya hao wenye sare isikufanye umponde mkeo ndugu yangu, ukiendelea hivyo basi tambua kuwa hiyo tamaa yako haitaiacha ndoa yako salama


Mimi simpondi mke wangu, naelezea uhalisia tu. . .Nishawekaga threads kibao nikimsifia. Mpaka Preta akaona wivu
 
Back
Top Bottom