Mupirocin
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 1,739
- 744
Taarifa ya habari ya TBC1 imeonyesha wanafunzi 36 wameshindwa kufanya mtihahani wa Taifa unaondelea wa kidato cha nne, kisa eti hawakufaulu mtihani wa std 7 four years ago. Kisa eti hawakupata alama 100 mtihani wa std 7.
My take
1. ilikuwaje wakaandikishwa wakati wanaanza kidato cha kwanza kama kilikuwa ndo kigezo
maswali yapo mengi sana kuhusu hii issue.
Serikali iache kuwapotezea wanafunzi muda, wale waliopo private walifikisha huo wastani.
My take
1. ilikuwaje wakaandikishwa wakati wanaanza kidato cha kwanza kama kilikuwa ndo kigezo
maswali yapo mengi sana kuhusu hii issue.
Serikali iache kuwapotezea wanafunzi muda, wale waliopo private walifikisha huo wastani.