Mtoboasiri
JF-Expert Member
- Aug 6, 2009
- 5,101
- 1,946
Sasa Mtoboasiri mbona unatoboa siri kwa rafiki na mtani wangu Ritz?
Arushaone, hiyo mbone sio siri!
Sasa Mtoboasiri mbona unatoboa siri kwa rafiki na mtani wangu Ritz?
Iliendeleaa.....
Mdada akafungua mlango..
mdada:Waooooh jamani,ulipotea sana,usifanye hivyo tena,
kijana:Hapana siunajua nilikua safarini
mdada:Enhe hiyo blackberry iko wapi??af hizo i pad sijawahi kutumia kabisa......
kijana:By the way,twende roon kwanza tutaongea mengine baadae..
mdadaoa,lakini hata mizigo sipokei jamani...
Kijana:Unajua hii niliyobeba ni maandazi ya azam,ile blackberry na i pad zimeibiwa kwenye daladala..
mdada:Loh..kumbe hata gari huna,unaleta maandazi umesikia nataka kufunga choo???....hebu nipishe,nina test mchana,tutaonana weekend ijayo.....mxxxxiouuuuuuuuu(sonyo)..............
itaendelea....