Wanafunzi wa vyuo acheni basi utapeli

Iliendeleaa.....
Mdada akafungua mlango..
mdada:Waooooh jamani,ulipotea sana,usifanye hivyo tena,
kijana:Hapana siunajua nilikua safarini
mdada:Enhe hiyo blackberry iko wapi??af hizo i pad sijawahi kutumia kabisa......
kijana:By the way,twende roon kwanza tutaongea mengine baadae..
mdada:poa,lakini hata mizigo sipokei jamani...
Kijana:Unajua hii niliyobeba ni maandazi ya azam,ile blackberry na i pad zimeibiwa kwenye daladala..
mdada:Loh..kumbe hata gari huna,unaleta maandazi umesikia nataka kufunga choo???....hebu nipishe,nina test mchana,tutaonana weekend ijayo.....mxxxxiouuuuuuuuu(sonyo)..............
itaendelea....

hahaha Ritz Bishanga na majany mnanivunja mbavu
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom