<br />Teh teh teh teh!!!!!!!!!!!<br />
Hiki kituko wala sina hamu hapa... duh!!!!!!!!!!!
<br />hahahaha kweli noma! Ila hakuna neno la kiswahili linaloandikwa (Bhana)
<br />Duh! Ila imenikumbusha baadhi ya maticha na maswali yao kwenye mitihani, utakuta swali "Waziri wa miundombinu ni mh. John Pombe Magu......?
ha ha ha haaaa. hivi watu huwa mnafikiri nini.., yaaani mbavu sina mie...... duhKatika shule moja mwalimu wa uraia akiwa darasani anakata pindi, maongezi yalikuwa hivi na wanafunzi.
Mwalimu: raisi wa kwanza wa Tanzania ni Nye
wanafunzi: Kunyaaaaaaaaaaaaaaaaaa
<br />Duh! Ila imenikumbusha baadhi ya maticha na maswali yao kwenye mitihani, utakuta swali "Waziri wa miundombinu ni mh. John Pombe Magu......?
<br />ha ha ha haaaa. hivi watu huwa mnafikiri nini.., yaaani mbavu sina mie...... duh
<br />hii mambo yakufupisha maneno ili mwenzio amalizie yapo kwa wachaga sana, ukisimuliwa hadithi unaweza jikuta we ndo umehadithia hadithi nzima badala ya kusikiliza;-<br />
<br />
Mangi; si nilimpigia simu lakini haku....<br />
sam: ...hakuja<br />
<br />
Mangi: nikaona isiwe shida, nikaamua nimfa...<br />
sam: ...ukaamua umfate.<br />
<br />
Mangi: kumbe kule alikuwa na ma..<br />
sam: ...manzi wake.<br />
<br />
wachaga mpooooooooooo