Wanafunzi wa siku hizi bhana

Wanafunzi wa siku hizi bhana

hii mambo yakufupisha maneno ili mwenzio amalizie yapo kwa wachaga sana, ukisimuliwa hadithi unaweza jikuta we ndo umehadithia hadithi nzima badala ya kusikiliza;-<br />
<br />
Mangi; si nilimpigia simu lakini haku....<br />
sam: ...hakuja<br />
<br />
Mangi: nikaona isiwe shida, nikaamua nimfa...<br />
sam: ...ukaamua umfate.<br />
<br />
Mangi: kumbe kule alikuwa na ma..<br />
sam: ...manzi wake.<br />
<br />
wachaga mpooooooooooo

nipo,ushirikishwaji wa hadhira na fanani
 
Back
Top Bottom