Mshume Kiyate
JF-Expert Member
- Feb 27, 2011
- 6,764
- 908
teh teh teh teh
hii mambo yakufupisha maneno ili mwenzio amalizie yapo kwa wachaga sana, ukisimuliwa hadithi unaweza jikuta we ndo umehadithia hadithi nzima badala ya kusikiliza;-<br />
<br />
Mangi; si nilimpigia simu lakini haku....<br />
sam: ...hakuja<br />
<br />
Mangi: nikaona isiwe shida, nikaamua nimfa...<br />
sam: ...ukaamua umfate.<br />
<br />
Mangi: kumbe kule alikuwa na ma..<br />
sam: ...manzi wake.<br />
<br />
wachaga mpooooooooooo