thomas_360
JF-Expert Member
- Oct 11, 2015
- 1,459
- 1,428
Hivi jamani huko mashuleni hasa secondary huwa hakuna siku ya ukaguzi wa kushtukiza maana unakuta mwanafunzi anaenda na simu shuleni bila wasi wasi na wengine unakutana nao kwenye daladala wanachat tu..
Hivi kwa mwendo huu ufaulu utaongezeka kweli...hasa hizi shule za kata yaani ni shida tupu...Walimu mko wapi au mnaona jambo hili ni sawa??
Hivi kwa mwendo huu ufaulu utaongezeka kweli...hasa hizi shule za kata yaani ni shida tupu...Walimu mko wapi au mnaona jambo hili ni sawa??