Wanafunzi wa Kitanzania wang'ara Marekani

hawa sio watanzania hawa ni vijana wenye mfano wa watanzania mtanzaania yuko kayumba
 
The chosen one. Hustlers wako kata na ngumu sana kupenya kwenye tundu la kitaifa na kimataifa kwasababu wako katika mazingira unfavourable.

Jua lao, vumbi lao, njaa yao, elimu mbovu yao na msongo wa mawazo juu yao.

Pongezi kwa hao walioandaliwa kushinda shindano hilo, pongezi kuandaliwa kwao kuiongoza nchi baadaye.
 
Hongera sana kwao. Mtoto anasoma Feza anakosaje kuwa vizuri.
Hizo shule tuliambiwa na rais wa Uturuki zinafadhili Ugaidi nchini kwake na akaomba hapa zifungwe na Kule Rwanda zote zimefungwa kwa sababu Uturuki ndio wanaojenga ile reli ya standard,kwa hiyo kama mtoto wa mzee wetu pendwa anasoma hizo shule nijiuliza sipati jibu!!!
 
dhahabu? wacha nasisi tuboreshe kutoka BIKI na UFUTO atlist mpaka zawad ya MKEBE.
 
Mbona washiriki wote ni waafrica,je huko ulaya na asia hakuna maginius
 
haya mashindano yalihusisha waafrika tu au,, huko Marekani na Ulaya hawakutoa washiriki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…