screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Ndio mchumbaAnha kumbe
Ndio mchumbaAnha kumbe
Kama anatumia WiFi au Router wanampataje kwa mfano?Hata hapa wakitaka kumpata wanampata kirahisi tu...ni kitendo cha vyombo vya salama kuongea na administrators tu.
Mafia huwa hakamatwi sasa endeleeni kujipa moyoKama anatumia WiFi au Router wanampataje kwa mfano?
Kuendesha nchi ni kazi ngumu kwelikweli,
Dah..... Kweli bana... Tena waanze kwa kuvunjavunja kambi za jeshiHakuna amani hapa amani wanayo maguful na ndarichake madogo huki kitaa ni vilio tu bora walianzishe kieleweke
Sent using Jamii Forums mobile app
Tapeli ww badala ya kusema "kaka yenu nipo nyuma yenu" unasema "kaka zenu tupo nyuma yenu" kana kwamba mpo wengi.Nawashauri wadogo zangu wanaotarajia kuingia chuo msisite kuleta mgomo ikiwezekana kuvunja amani ikitokea hamkupewa haki yenu ya mkopo
Msikubali kuwa wanyonge kuona haki yenu haitendeki
Kamwe msirudi nyuma kama mbwai iwe mbwai tu mpaka kieleweke
Inatia uchungu sana kila nikiona thread zenu mkilalamika kuhusu mambo ya mikopo ,msikubali kurudi nyuma lianzisheni na sisi kaka zenu tupo nyuma yenu kuhakikisha mnapata haki yenu
Acheni nidhamu ya uoga wamelikoroga wenyewe lazima walinywe
Tapeli nimekutapeli nini?Tapeli ww badala ya kusema "kaka yenu nipo nyuma yenu" unasema "kaka zenu tupo nyuma yenu" kana kwamba mpo wengi.
Ulitakiwa useme "mimi kaka yenu nitakuwa mbele yenu " halafu tukuone ulivyo jasiri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimechochea nini?Acha kauli za uchochez af km umeshinfa kusoma kwa kukosa mkopo maisha co lazma usome jarb upande wa pil
Soma huu uzi umeandikwa lini.ASA watu hata kuomba mikopo bado hawajaanza we unawaambia waandamane!!!
Una matatzo kuu
Sent using Jamii Forums mobile app
MKUU SHERIA IPI INASEMA MKOPO NI HAKI YAKO?UNAPOOMBA MKOPO KUNA KUPATA NA KUKOSA,NA UNAINGIA MKATABA NA BODI SIO WIZARA.WASHAURI WENZIO VIZURI ILI IYO PRIVELEJI WAITUMIE VEMA HUYU TULIE NAE SIO YULE TULIYEMZOEANawashauri wadogo zangu wanaotarajia kuingia chuo msisite kuleta mgomo ikiwezekana kuvunja amani ikitokea hamkupewa haki yenu ya mkopo
Msikubali kuwa wanyonge kuona haki yenu haitendeki
Kamwe msirudi nyuma kama mbwai iwe mbwai tu mpaka kieleweke
Inatia uchungu sana kila nikiona thread zenu mkilalamika kuhusu mambo ya mikopo ,msikubali kurudi nyuma lianzisheni na sisi kaka zenu tupo nyuma yenu kuhakikisha mnapata haki yenu
Acheni nidhamu ya uoga wamelikoroga wenyewe lazima walinywe
Maandamano ni haki ya msingi ya kikatiba, haijalishi nani anakataza kuandamana au anatoa vitisho gani. Raia wanafuata kile kilicho kwenye katiba na ndiyo sheria siyo vinginevyo.MKUU SHERIA IPI INASEMA MKOPO NI HAKI YAKO?UNAPOOMBA MKOPO KUNA KUPATA NA KUKOSA,NA UNAINGIA MKATABA NA BODI SIO WIZARA.WASHAURI WENZIO VIZURI ILI IYO PRIVELEJI WAITUMIE VEMA HUYU TULIE NAE SIO YULE TULIYEMZOEA