Wanafunzi unganeni Tanzania nzima mfanye mgomo

Ndugu Brigedia mafia jina lako utata na pia usiwasababishe vijana wavunjwe vunjwe.

Njia sahihi kwa Nchi za Afrika ni mazungumzo, tofauti na hapo watapigwa virungu na pia wajumuishwe na Taifa jipya.
 
Ndugu Brigedia mafia jina lako utata na pia usiwasababishe vijana wavunjwe vunjwe.

Njia sahihi kwa Nchi za Afrika ni mazungumzo, tofauti na hapo watapigwa virungu na pia wajumuishwe na Taifa jipya.
sawa mkuu ila kwa nchi yetu hii suala la mkopo limekuwa kubwa sana madogo hawapewi mpaka wagome

Na mkuu wetu wa nchi alihaidi atatoa mkopo kwa wakati cha muhime uwe umekidhi vigezo lakini cha ajabu mpaka leo hali imekuwa ile ile tena imekuwa mbaya sana tofauti na miaka iliyopita
 
Nawashauri wadogo zangu wanaotarajia kuingia chuo msisite kuleta mgomo ikiwezekana kuvunja amani ikitokea hamkupewa haki yenu ya mkopo

Msikubali kuwa wanyonge kuona haki yenu haitendeki
Kamwe msirudi nyuma kama mbwai iwe mbwai tu mpaka kieleweke

Inatia uchungu sana kila nikiona thread zenu mkilalamika kuhusu mambo ya mikopo ,msikubali kurudi nyuma lianzisheni na sisi kaka zenu tupo nyuma yenu kuhakikisha mnapata haki yenu

Acheni nidhamu ya uoga wamelikoroga wenyewe lazima walinywe
Tutakushughulikia kwa kauli ya KICHOCHEZI na Cyber crime haiepukiki kwa kuhamasisha vurugu.
 
sawa mkuu ila kwa nchi yetu hii suala la mkopo limekuwa kubwa sana madogo hawapewi mpaka wagome

Na mkuu wetu wa nchi alihaidi atatoa mkopo kwa wakati cha muhime uwe umekidhi vigezo lakini cha ajabu mpaka leo hali imekuwa ile ile tena imekuwa mbaya sana tofauti na miaka iliyopita

Siasa ni mchezo mchafu, kisima cha maji hayo machafu ni Mwananchi mkuu.

Chamsingi ni kukaa karibu na Taasisi mbali mbali, uongozi wa vyuo vikuu pamoja na wadau ambao ni wazazi.

Vyomba vya habari vilete midahalo ya kielimu kwa kushirikisha wadau mbali mbali, ikiwemo wazazi na wanafunzi wenyewe ili kupaza sauti za wanyonge wenye haki ya kupata Elimu bora bila vikwazo na uonevu wowote.

Ukisema waandamane kiukweli huwataki mema, mikopo wamekosa na watavunjwa viungo vyao na polisi kupita maelezo, kisha nguvu kazi ambayo ni vijana kuanza kupoteza muda hospital. Na kama tetesi zinavyo sema hospital hamna dawa tena kwa wagonjwa wa kawaida. Je kwa wagonjwa wa maandamano watapata hata panadol?
 
by 2020 wanafunzi wengi mnaolalamikia mikopo leo hamta kuwa wateja wa kubwa wa hii sera ya elimu bure na nafuu mtakua makini kusikiliza sera za ajira na n.k wazaz wenu sisi bei yetu inafahamika kusahau haya so watu wanastrategies zao wanajua nan asset nan liability
 
Walipsoma kipindi cha awamu ya NNE waliona kilichotokea.

Malipo ya Meals Costs (gharama za chakula) zilipanda Kutoka Tshs 7,500/= kwa siku mpaka Tshs10,000/= kwa siku.

Tofauti na kinachoonekana hivi sasa Tshs 500/= - 300/= itamsaidia nini mtoto wa masikini? Yaani ile sarafu ikulishe asubuhi, mchana na jiioni kwa zile lectures za 2 hours plus 1 hour ya seminar presentation!?

Hatari sana. Huku ni kubet na maisha ya mwanafunzi masikini.
 
Nawashauri wadogo zangu wanaotarajia kuingia chuo msisite kuleta mgomo ikiwezekana kuvunja amani ikitokea hamkupewa haki yenu ya mkopo

Msikubali kuwa wanyonge kuona haki yenu haitendeki
Kamwe msirudi nyuma kama mbwai iwe mbwai tu mpaka kieleweke

Inatia uchungu sana kila nikiona thread zenu mkilalamika kuhusu mambo ya mikopo ,msikubali kurudi nyuma lianzisheni na sisi kaka zenu tupo nyuma yenu kuhakikisha mnapata haki yenu

Acheni nidhamu ya uoga wamelikoroga wenyewe lazima walinywe
HAJARIBIWI, NASISITIZA YOHANA HAJARIBIWI MSIMJARIBU KWA KUGOMA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom