Wanafunzi unganeni Tanzania nzima mfanye mgomo

brigedia mafia

JF-Expert Member
Jul 21, 2016
2,264
2,275
Nawashauri wadogo zangu wanaotarajia kuingia chuo msisite kuleta mgomo ikiwezekana kuvunja amani ikitokea hamkupewa haki yenu ya mkopo

Msikubali kuwa wanyonge kuona haki yenu haitendeki
Kamwe msirudi nyuma kama mbwai iwe mbwai tu mpaka kieleweke

Inatia uchungu sana kila nikiona thread zenu mkilalamika kuhusu mambo ya mikopo ,msikubali kurudi nyuma lianzisheni na sisi kaka zenu tupo nyuma yenu kuhakikisha mnapata haki yenu

Acheni nidhamu ya uoga wamelikoroga wenyewe lazima walinywe
 
Nawashauri wadogo zangu wanaotarajia kuingia chuo msisite kuleta mgomo ikiwezekana kuvunja amani ikitokea hamkupewa haki yenu ya mkopo



Msikubali kuwa wanyonge kuona haki yenu haitendeki


Kamwe msirudi nyuma kama mbwai iwe mbwai tu mpaka kieleweke


Inatia uchungu sana kila nikiona thread zenu mkilalamika kuhusu mambo ya mikopo ,msikubali kurudi nyuma lianzisheni na sisi kaka zenu tupo nyuma yenu kuhakikisha mnapata haki yenu

Acheni nidhamu ya uoga wamelikoroga wenyewe lazima walinywe
anzisha
 
Andamana tukunyooshe, kama ulishidwa kuandamana kwenye ballot tuliza msh.no
 
598797_290355974408717_2103629091_n%25255B1%25255D.jpg

Ningekua naweza kuwapata hao watanzania watatu hapo chini..ningewaleta hapa JF watoe ushuhuda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom