kama kawa. wamemaliza mitihani. wamefulia. hawana bumu. sasa wanawindwa. wapewe pesa kidg. watumike kwenye maadamanaio haram. wengi wao wamekwama hawana naul wapo tu kwenye magorofa ya chuo.
mkuu nipe dokezo la mabango watakayobeba...like 'sisi ni ccm daima' or " dowans iwashwe" or " kikwete rais bora TZ" or" bajaji kwa wajawazito -asante jk kwa kutimiza ahadi"
endelezeni........................... Jamaa wapo hata hapa JF watafanyia kazi mabango yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.