Wanafunzi ni wa kuogopa kama ukoma

Wanafunzi ni wa kuogopa kama ukoma

Kwahiyo D ya kiswahili ndio inakufanya usijue tofauti ya "jera" na "jela".
Kizazi chenu mlihudhuria shule lakini bure kabisa.
Kila jambo lina matokeo yake aidha yawe chamya au hasi.
Sasa huyo binti inabidi umuoe; umeeleza mengi lakini hujaeleza chochote kuhusu mtoto.
Mtoto yupo kwa mama angu..binti anaendelea na shule,,nimeshaoa mwanamke mwingine.
 
Kwa level yangu siwezi tongoza mwanafunzi. Huyu ninae msema yaani katafta namba yangu kanipigia kasema anashida na siku anakuja kuonana mimi kaja na zawadi flan. Nilishikwa na butwaa...mtoto wa form four?!! Shida yenyewe haikueleweka bayana ingawa aliitaja. Nilichogundua alikuwa anantriger kwamba nianze kumpa special attention ingawa kabugi saana. Akaafte wanafunzi wenzia wa form 4 F
Lete namba yake sisi tumpe zawadi
 
Dah mkuu cjakusoma vzur hapo inamana kama hujapitia kumtia mtt wa watu mimba inamana hujakamilika au unamanisha mkuu nieleweshe npo njia panda
Usikariri mifano, elewa Mada, point Yangu ni kwamba misukosuko ni sehemu ya maisha ya Mwanaume! Iwe kumtia mtu mimba, iwe kufukuzwa kazi, madeni, lawama, kudharaulika nk nk.. Ili uwe mwanaume kamili lazima upitie misukosuko itakayokujenga kifkra na kujua namna unaweza kukabiliana na stress.
 
Back
Top Bottom